Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Ukiweka mpg4 unapata za azam na hizo nyingine bila kufanya adjustment ya azam tv dish. Au nayo unafanya adjustment pia

ktk mpg4 sipati azam.azam hawana fta hata 1 ila zuku wamezifungua tv zote za kitaifa ktk zinazoonyesha wc hatujui nao watazifunga lini
 
ktk mpg4 sipati azam.azam hawana fta hata 1 ila zuku wamezifungua tv zote za kitaifa ktk zinazoonyesha wc hatujui nao watazifunga lini

Mie nazipata mbc, kbc, etv, ubc and the rest but nikitzkz kuziangalia zinasema no signal. Je nikitumia mpg4 zitashika?
 
Maana yake haikubali disecq option 2.0,, hii ni kwa zile receiver kama strong HD ambazo unaweza kuingiza hata sat 16 kwa maana ya Lnb 16. hiyo yako si zaidi ya lnb 4, kwa hiyo check port number uliyofunga cable yako kisha kwenye installation setting weka hiyo number ya port ktk switch... kama ni port namba 1 set 1, kama ni port namba 2 set 2 kwenye receiver yako. Ikikataa badilisha port kwani mara nyingi huwa zinashort na hivyo kutofanya kazi, Nb :usifunge cable yako receiver ikiwa ON, utashort switch yako.

kaka MP namba yako nina shida ya kufungiwa ku band nitizame immanuel tv
 
msaada jamani nikiingiza hizi freq kwenye eutselat ya azam tv sipati kitu ila ni add satellite name na kuweka baada ya kusearch inaniambia kuna channels imekamata lakini nikirudi kwenye list sioni kitu sijui tatizo ni nn na sijajua ile satellite name inawekwaje
 
msaada waungwana nimejaribu kutumia option ya kwanza imegoma na hii ya pili baada ya ku add satelite niki search inaonesha zimekamata ila nikija kwenye list ya kawaida sizioni ila redio zipo
 
msaada waungwana nimejaribu kutumia option ya kwanza imegoma na hii ya pili baada ya ku add satelite niki search inaonesha zimekamata ila nikija kwenye list ya kawaida sizioni ila redio zipo

bonyeza menu kisha fasta bonyeza kitufe cha kupandishia sauti utaziona.
 
Nashukuru Ph-25 nimepata channels kama 13 hiv na redio 5 ila zile za Rodrigez zinasoma zote mbili sema hazioneshi picha na freq yake inasoma integrity 70 & quality 40. nimezi add kwenye satellite ya west, 7 degree au ni add satellite nyingine ya east.
 
KBC 11803H27500,UBC 11880H27500,MBC 11957H27500,kama umetegesha vizur dish lako utazipata

Thanks mkuu baada ya kuingiza frequencies nimepata machaneli mengi sana including hizo SABC's,eTV lakini tatizo hazionyeshi,zipo tu kwenye list kama zile za rodrigues.Zinazoonyesha ni tatu tu UBC,MBC eti na TBC!Nasikitika KBC hata kwenye list tu haipo.Thanks!!
 
Jamani naingizaje fta frequency katika mpg4 ya Zuku? Please help me guys.
 
Dish dogo kama la Zuku linauzwa sh ngap?nahitaj kulitumia kwenye azam tv
 
Dish dogo kama la Zuku linauzwa sh ngap?nahitaj kulitumia kwenye azam tv

mkuu dish la zuku di dogo mno maana ni ft2 bora ununue dish kama la azam amabalo ni cm 20 au dish la ft 4 ambalo utapata signal nzuri sana.nikuulize swali kwamba kwani umenunu king'amuzi bila dish la azam?
 
mkuu dish la zuku di dogo mno maana ni ft2 bora ununue dish kama la azam amabalo ni cm 20 au dish la ft 4 ambalo utapata signal nzuri sana.nikuulize swali kwamba kwani umenunu king'amuzi bila dish la azam?

mkuu nilinunua king'amuzi cha Azam pekee,nilikua natumia dish la dstv na mwenyewe amekuja,ss nataka nitafte la kwangu mkuu.
 
mkuu nilinunua king'amuzi cha Azam pekee,nilikua natumia dish la dstv na mwenyewe amekuja,ss nataka nitafte la kwangu mkuu.
mkuu uko wapi na ulinunua bei gani king'amuzi pekee maana huku mara wanazingua eti lazima ununue vyote pamoja kwa bei ya 150000.nimeamua kutumia mpg4 yangu kwa sasa
 
mkuu uko wapi na ulinunua bei gani king'amuzi pekee maana huku mara wanazingua eti lazima ununue vyote pamoja kwa bei ya 150000.nimeamua kutumia mpg4 yangu kwa sasa

King'amuzi cha Azam pekee n elfu 90 nilinunua Moro,na nimeshaipata Azam kwa ku2mia dish la ft 6
 
Back
Top Bottom