Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 537
Wadau wote kwa pamoja ebu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.
UPDATE...
................................
Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.
12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.
editing..
Sasa hivi Wamebadili hiyo @12728
imekuwa @10721h 30000
Nb: soma uzi kwanza kisha ndio ucoment kwani unaweza ku coment vitu ambavyo tayari vimesha jadiliwa tayari.... na sathunting sio msahafu muda wowote tp zinaweza badilika tu.
Update 25/9/2018
Kila siku nasema haya mambo yana badirika,watu tupende kusoma sana hii trick ilifanya kazi zamani sana,apo nyuzi 7 kulikuw na chanel mbili za mauritius ndio zilikua zina rusha ligi kuj ya uingereza lakini sikuizi hazipo,so hii trick ni useless kwa sasa,ilw zipo trick ambazo zinaweza kukusaidia ukaona iligi za ulaya bure bila kulipia.
Mind u,bure ni ghali sana na tecnologia inapo badirika nowdays na gharama za fta ndio zina panda sana.
Karibuni kwa maswali zaidi.
UPDATE...
................................
Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.
12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.
editing..
Sasa hivi Wamebadili hiyo @12728
imekuwa @10721h 30000
Nb: soma uzi kwanza kisha ndio ucoment kwani unaweza ku coment vitu ambavyo tayari vimesha jadiliwa tayari.... na sathunting sio msahafu muda wowote tp zinaweza badilika tu.
Update 25/9/2018
Kila siku nasema haya mambo yana badirika,watu tupende kusoma sana hii trick ilifanya kazi zamani sana,apo nyuzi 7 kulikuw na chanel mbili za mauritius ndio zilikua zina rusha ligi kuj ya uingereza lakini sikuizi hazipo,so hii trick ni useless kwa sasa,ilw zipo trick ambazo zinaweza kukusaidia ukaona iligi za ulaya bure bila kulipia.
Mind u,bure ni ghali sana na tecnologia inapo badirika nowdays na gharama za fta ndio zina panda sana.
Karibuni kwa maswali zaidi.