sat ya azam ni Eutelsat East 7A
sat nilio-add ni PAS 7 10 68 5
Freq
12728H30000
12520H27500
11192H03210
hapa mkuu ndio sipati kitu so naomba nijue tatizo langu liko wapi.
wait nkipata time ntakuonesha kwa picha.
tatizo lipo kwenye kuaadd satelite kwani lazima kuna vitu vya kuseti kama LNB Freq 9750- 10600.Disceqc - 1.2,LNB Power - auto, 22k - auto, switch port - port 1, Toneburst - 1, Location - east, Longitude - 68.5
kisha ndio uingize izo frequence mkuu.
mkuu kama unaitaj sat zamambo ya bori/kabumbu njoo huku,amos@5 nyuzi 17e ku,eutel sat16@16e,astra 4A a.k.a sirius 4.8e ku, apo kwenye kumi na sita ndo utaipata rdv ambayo ni fta,epl jmos na jpili live,(stv utapata epl,bundesliga, na tv orbt ya benin utaona epl karibu na izo zote ulizo taja apo juu utazipata uku poti.
Kuhama hapa kwa azam mkuu sitaweza kuna chanel sitaki kuzipoteza pia shemeji yako nae kuna chanel za tamthilia pia itakua sijamtendea haki, labda kama kuna sate zingine ambazo zinapatikana hapo kwa azam bila ku adjust itakua poa sana maake niliongeza nikafanikiwa kupata Rodrigues TV1&TV2,african unite,muvi tv na zingine kama tatu hiv sizikumbuki
Nitakuelekeza kaka kwenye hicho cha azam namalizia gem ya man utd hapa kibandan
mkuu game ya man u imeisha ujue makuckilizia.
kwaio saiz umefanikiwa.?
Aisee niwie radhi aisee, Twende kaz sasa unaishia sehem gani ndio unaanza kupata ugumu
Pamoja sana kaka Nyanya mbichi hata mim nimeweza kwa kuuliza hapa hapa jukwaani maake sina utaalam sana na hayo mambo ya sate, Hakuna aliyezaliwa anajua na pia hata kuelewa tunatofautiana ila tu uvumilivu na jitihada za kutaka kujua ndio msingi pekee na ndio maisha yanasonga.
Tuko pamoja sana
unakwama wapi mkuu,mbona ilo zoezi dogo sana.?tukifika sat mnyororo sindo utapasuka medula... Niwekee picha nione hapo unapo kwama,mpaka utaelewa tu mwaka huu.