Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 597
- 1,277
Azam tv nawapongeza kwa kuandaa mapambano ya boxing na kusababisha mchezo huo kuwa na mashabiki wengi
Ushauri wangu ni kuwa mnatakiwa muwe na kipindi ambacho kinatoa elimu ya boxing kwani watazamaji wenu wengi hawana uelewa na mchezo huu.
Wanadhani ushindi ni mpaka mtu apigwe na kuanguka chini ama kutokwa na madamu.
Ama kila bondia anatkiwa kupigana na kila mtu wanasahau kuwa kuna uzito
Ushauri wangu ni kuwa mnatakiwa muwe na kipindi ambacho kinatoa elimu ya boxing kwani watazamaji wenu wengi hawana uelewa na mchezo huu.
Wanadhani ushindi ni mpaka mtu apigwe na kuanguka chini ama kutokwa na madamu.
Ama kila bondia anatkiwa kupigana na kila mtu wanasahau kuwa kuna uzito