josephjul40
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 218
- 40
Azam washasanukia dili arifu. Sattelike nilizoadd zote na chanel zake wamefuta wenyewe juu kwa juu. What else nitafanya nicheki epl?
kwani ulikuwa ume add sat zipi na ukawa unaona epl?? Ukisha add sat kama hutaki usumbufu kadi yao unaweza kutoa kabisa na kuweka kadi ingine humo hapo hawawezi kukupata tena. Ulia add sat zipi??