Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 540
- Thread starter
- #321
Hiyo pass 7 10685 unaiingiza vip? kwa sababu pale juu utakuta kuna etelsat 7a ya azama na inakupa option ya kuandika na siyo kufanya selection. selection ziko kwenye lnb tu. Msaada wako mkuu pia jana niesearch nikapa channelkama 13 but rdv sijaipata iko kwenye lnb gani na frequency zip
kunamaelekezo umu nilishayatoa kuhusu jinsi ya kuadd sat&frqnce ktk azam kisimbuzi,sikumbuki ni post #ngapi ila waweza kuitafuta humu bdo ipo.kuhusu rdv haipatikani uko iko nyuzi 16 toka hapo nyuzi 7 za azam,ktk sat ya eutelsat 16e@ 16a mpge 2 mkuu,hope umenielewa.