Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

mkuu sio kweli kama unakamata vzr azam media,basi ukichomeka mediacom ukaweka io sat signa hua azishuki chini ya 90.cheki mitambo yako vizur.

Nashukuru mkuu nimepata. Naomba unisaidie nipate za bongo esp star tv
 
itakua vzr,ila nacho kiongea kina hakika mkuu

hio hapo kaka
SXIRDB5.jpg
 
hio hapo kaka
SXIRDB5.jpg

aksante picha nimeio na nembo ni yenyewe sali linakuja iweje uipate upande wa 7A wakat updates zote zinaonesha 7B.? Naizo frqnce za simanyola ulizo weka niza SES@5 za upande wa zuku.? Za nyuzi io 7 haziko ivyo mkuu.?
 
Mkuu wangu CHIEF MKWAWA apo umeipata sat ya zuku na sio nyuzi 7 kama unavyo sema,msaada zaid igoogle io chanel,fungua lyngsat,utanielewa nin nasema,au soma hapa.

Satellite
Position
Frequency
System
SR
FEC
Encryption
Packages
Lang.
Beam
EIRP (dBW)
Source

Türksat 2A
42.0°E
11906 H
DVB-S
MPEG-2
4800
5/6
Tu
East
0
D Lita
130302

Türksat 2A
42.0°E
12699 V
DVB-S
MPEG-2
6600
3/4
Tu
Africa
Anonymous
Nemsyta
130405

Türksat 3A
42.0°E
12699 V
DVB-S
MPEG-2
6600
3/4
Tu
West
0
Anonymous
Nemsyta
130405

Eutelsat 7A
7.0°E
11492 V
DVB-S
MPEG-2
30000
3/4
Cryptoworks
Irdeto 2
Digiturk
Tu
Europe B
0
MZ
121017

SES 5
5.0°E
12034 H
DVB-S
MPEG-2
27500
3/4
Tu
Sub Saharan Africa
Tony 5
131201

LyngSat Stream
Samanyolu TV Türkiye ©
LyngSat, last updated
2014-03-02
LyngSat
tvchannels/tr/Samanyolu-
TV-Turkiye.html
 
Last edited by a moderator:
hio hapo kaka
SXIRDB5.jpg

mkuu io nyuzi 7 huwezi kuipata afrika,beam zake hazifiki huku,huku tunazipata beam za sub-sahara ambazo kwa io sat unazipata upande wa zuku pekee,hapo sio nyuzi 7 bdo uko nyuzi 5 mkuu.
 
mkuu io nyuzi 7 huwezi kuipata afrika,beam zake hazifiki huku,huku tunazipata beam za sub-sahara ambazo kwa io sat unazipata upande wa zuku pekee,hapo sio nyuzi 7 bdo uko nyuzi 5 mkuu.

kaka mimi si mtaalam sana wa dishi sijaelewa hio nyuz 5 na saba ni uelekeo wa dish au setting za satelite tuliyo add. kama ni setting za satelite nina uhakika ni 7 na sio 5 na kama ni uelekeo wa dish unaweza kuwa sahihi
 
kaka mimi si mtaalam sana wa dishi sijaelewa hio nyuz 5 na saba ni uelekeo wa dish au setting za satelite tuliyo add. kama ni setting za satelite nina uhakika ni 7 na sio 5 na kama ni uelekeo wa dish unaweza kuwa sahihi

mkuu zote izo uelekeo wa dish ni mmoja,ila tofauti vituo,unaweza uka add sat na kumbe umetumia frqnc za sat nyingne na ukapata sgna kutokana na frqnc ulizo weka,hasa sat zinazo patikana ukanda uo mkuu.
 
Katika post zote nilizopitia, hii ndo imekua msaada kwangu kwa sababu umeelezea vitu vyote vinavyohitajika. Unajua humu sio kila mtu mtaalamu, so ni vizuri kuweka mambo wazi km hivi. Wengine hawataji LNB freq! Thanks mkuu
Thanx kaka...
 
mkuu nimepitia hatua ila bilabila.

mkuu hapo umelishwa tango mwitu tu,hauwezi pata chanel za nyuz 5,ktk nyuzi 7,ikumbukwe kua uetel sat@7 ina beam mbili tu,beam 7A ambayo inapatikana afrika(sub-sahara) na 7B ambayo inapatikana europe,lakin inashangaza kunambia umeipata simanyolu tv ktk nyuzi 7A wakati io chanel iko beam ya europe.? Unless huyu mtu haishi tz,labda yuko ulaya ndio nitakubaliana nae.
 
Mkuu hapo hata nikiscan hakunakitu....Ph-25 unahusika kwa msaada hapa.
 

Attachments

  • 1394022236801.jpg
    1394022236801.jpg
    63.8 KB · Views: 273
  • 1394022264300.jpg
    1394022264300.jpg
    55.8 KB · Views: 222
  • 1394022296480.jpg
    1394022296480.jpg
    102.4 KB · Views: 219
  • 1394022328953.jpg
    1394022328953.jpg
    100.8 KB · Views: 222
Mkuu hapo hata nikiscan hakunakitu....Ph-25 unahusika kwa msaada hapa.

Hiyo pass 7 10685 unaiingiza vip? kwa sababu pale juu utakuta kuna etelsat 7a ya azama na inakupa option ya kuandika na siyo kufanya selection. selection ziko kwenye lnb tu. Msaada wako mkuu pia jana niesearch nikapa channelkama 13 but rdv sijaipata iko kwenye lnb gani na frequency zip
 
Msaada wako mkuu pia jana nimesearch nikapa channel kama 13 but rdv sijaipata iko kwenye lnb gani na frequency zip?
 
guys nimepata chanel kama 46 mpya (radio+tv) kwa kutumia satelite yetu ile ile ya 97500-10600 east 7.0 sema tatizo chanell zote zinaonyesha nyeusi tu kasoro moja inaitwa samanyolu ndio inaonesha. kama kuna mtu anaweza kufanya tweak zionyeshe anaweza endelezea toka hapa. frequency ni hizi hapa.


11972 H 27500
11884 V 27500
12052 V 27500
12132 H 27500
12159 V 2348
12169 V 5240
12172 H 27500

Msaada wako mkuu pia jana nimesearch nikapa channel kama 13 but rdv sijaipata iko kwenye lnb gani na frequency zip?
 
guys nimepata chanel kama 46 mpya (radio+tv) kwa kutumia satelite yetu ile ile ya 97500-10600 east 7.0 sema tatizo chanell zote zinaonyesha nyeusi tu kasoro moja inaitwa samanyolu ndio inaonesha. kama kuna mtu anaweza kufanya tweak zionyeshe anaweza endelezea toka hapa. frequency ni hizi hapa.


11972 H 27500
11884 V 27500
12052 V 27500
12132 H 27500
12159 V 2348
12169 V 5240
12172 H 27500
Msaada wako mkuu pia jana nimesearch nikapa channel kama 13 but rdv sijaipata iko kwenye lnb gani na frequency zip?
 
Huwa mbishi lakini Azam TV wako juu na iko clear kuliko hata DSTV na VPL na mipira mingine , movies, documentary, kihindi nk waendelee hadi nchi zingine za EA
 
Msaada wako mkuu pia jana nimesearch nikapa channel kama 13 but rdv sijaipata iko kwenye lnb gani na frequency zip?

according na maelezo ya jamaa haipatikani kwenye azam tv bali kwenye receiver ya kawaida inayotumia dish la azam tv
 
Back
Top Bottom