Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Hapana imeongeza channels 7,nilizo zitambua haraka haraka ni hizo,maana inapo load siku zote uwa total channels ni 52 ila leo imekuwa 59,hivyo mpya zipo 7.Fanya Auto search utaona mkuu!

BURTON JORDE

Ngoja nijalibu
 
Kama utafanikiwa kuipata IBN TV,basi leo utaona gemu ya yanga na waarabu live..
 
Kama utafanikiwa kuipata IBN TV,basi leo utaona gemu ya yanga na waarabu live..

Mkuu, tupatie frequency pamaoja na satellite yake tuchachalike tuweze kuona hiyo mechi.
 
Wadau nimefanikiwa kuongeza zingine, cha msingi add satellite nyingine, lnb freq. Weka 97500-10600, location east, longitude 7.0, then tranaponder ingiza zifuatazo, 12645 30000H, 10962 3255H, 11192 3210H, 12520 27500H, 12728 30000H. Kuna channel za drc na west africa.

Jembe nimekukubali.....
 
guys nimepata chanel kama 46 mpya (radio+tv) kwa kutumia satelite yetu ile ile ya 97500-10600 east 7.0 sema tatizo chanell zote zinaonyesha nyeusi tu kasoro moja inaitwa samanyolu ndio inaonesha. kama kuna mtu anaweza kufanya tweak zionyeshe anaweza endelezea toka hapa. frequency ni hizi hapa.


11972 H 27500
11884 V 27500
12052 V 27500
12132 H 27500
12159 V 2348
12169 V 5240
12172 H 27500
 
Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.

Mkuu mbona receiver ya mediacom inakuwa haina signal kabisa
 
Wadau nimefanikiwa kuongeza zingine, cha msingi add satellite nyingine, lnb freq. Weka 97500-10600, location east, longitude 7.0, then tranaponder ingiza zifuatazo, 12645 30000H, 10962 3255H, 11192 3210H, 12520 27500H, 12728 30000H. Kuna channel za drc na west africa.
Katika post zote nilizopitia, hii ndo imekua msaada kwangu kwa sababu umeelezea vitu vyote vinavyohitajika. Unajua humu sio kila mtu mtaalamu, so ni vizuri kuweka mambo wazi km hivi. Wengine hawataji LNB freq! Thanks mkuu
 
haiwezekani hata kidogo iyo nafasi huku kwetu anayo dstv pekee, yeye aljazeera ana haki ya kurusha middle east. Wewe unafikiri kwa nin aljazeera hawapatakini hapa bongo siku hizi?
Acha uongo tunaangalia Al-jazeera sports tangu mwaka juzi......wewe upo wapi?
 
guys nimepata chanel kama 46 mpya (radio+tv) kwa kutumia satelite yetu ile ile ya 97500-10600 east 7.0 sema tatizo chanell zote zinaonyesha nyeusi tu kasoro moja inaitwa samanyolu ndio inaonesha. kama kuna mtu anaweza kufanya tweak zionyeshe anaweza endelezea toka hapa. frequency ni hizi hapa.


11972 H 27500
11884 V 27500
12052 V 27500
12132 H 27500
12159 V 2348
12169 V 5240
12172 H 27500

mkuu unajua kua io simanyora tv,inapatikana SES @5 e.? Sat inayo tumika na zuku.? Sasa sijui wewe umeipataje huko w7@e..? Labda.....
 
Mkuu mbona receiver ya mediacom inakuwa haina signal kabisa

mkuu sio kweli kama unakamata vzr azam media,basi ukichomeka mediacom ukaweka io sat signa hua azishuki chini ya 90.cheki mitambo yako vizur.
 
guys nimepata chanel kama 46 mpya (radio+tv) kwa kutumia satelite yetu ile ile ya 97500-10600 east 7.0 sema tatizo chanell zote zinaonyesha nyeusi tu kasoro moja inaitwa samanyolu ndio inaonesha. kama kuna mtu anaweza kufanya tweak zionyeshe anaweza endelezea toka hapa. frequency ni hizi hapa.


11972 H 27500
11884 V 27500
12052 V 27500
12132 H 27500
12159 V 2348
12169 V 5240
12172 H 27500

mkuu ni pas au eutel satelite
 
mkuu unajua kua io simanyora tv,inapatikana SES @5 e.? Sat inayo tumika na zuku.? Sasa sijui wewe umeipataje huko w7@e..? Labda.....

Ndio maajabu ya Dishi,Lnb na receiver ya Azam, nami nilishangaa niliweka sat ya east 68.5 nikapata chanel kibao nikiangalia umbali wa 7degree na 68.5 nakosa majibu alafu kwa kutumia lnb Moja tu!
Wataalamu wa sat watatupa majibu.
 
mkuu ni pas au eutel satelite

mkuu huyo mdau anazungumzia sat ya azam,nanijuavo mim pale kuipata simanyora,ni ngumu,io chanel inapatikana nyuzi 5, e,upande wa zuku,nawasiwasi mkuu kakumbana na kitu cha zuku,akazan ndio nyuzi 7w@e. Mana apo pana sat nyingi sana alafu ziko kalibu kalibu sana,ukikosea tu umepata kingne.
 
mkuu huyo mdau anazungumzia sat ya azam,nanijuavo mim pale kuipata simanyora,ni ngumu,io chanel inapatikana nyuzi 5, e,upande wa zuku,nawasiwasi mkuu kakumbana na kitu cha zuku,akazan ndio nyuzi 7w@e. Mana apo pana sat nyingi sana alafu ziko kalibu kalibu sana,ukikosea tu umepata kingne.

Basi ndio siri iliyopo ila cha kushangaza ukijidanganya kuweka sat ya degree 5e na frequency hizo hizo huambulii kitu
 
mkuu unajua kua io simanyora tv,inapatikana SES @5 e.? Sat inayo tumika na zuku.? Sasa sijui wewe umeipataje huko w7@e..? Labda.....

nimeipata kaka kwa east 7 hio hio jaribu hizo frequency zote. nikifika home nitatuma na pic za proof.
 
Back
Top Bottom