Kwa hiyo Decoder ya Restaurant na decoder ya nyumbani kwako zinatofautiana? wewe ni zaidi ya Pumba acheni kwenda Madrassa kasomeni shule za Mission akili zenu zikae sawa... nimeandika haya kwa sababu nimeshuhudia.. Miislam bana... ni zaidi ya Janga katika kuelewa kitu...''Ishmael'' mjalana
Ndugu mbona unajibu Kwa asira hivyo, ebu tulia kidogo, nakushauri nenda kwenye hiyo restaurant waulize hizo picha zinatoka mojakwa moja kwenye receiver au wana TV nyingine wanaitumia km loop out? King'amuzi cha azam binafsi sijaona channel zenye Giza zote zipo. Narudia tena nenda kawaulize vizuri maana mm natoa majibu ya nikionacho sio cha kuambiwa,scientist wanasena no research no right to speak, angalia comment za wenye hicho king' amuzi