Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Kwa hiyo Decoder ya Restaurant na decoder ya nyumbani kwako zinatofautiana? wewe ni zaidi ya Pumba acheni kwenda Madrassa kasomeni shule za Mission akili zenu zikae sawa... nimeandika haya kwa sababu nimeshuhudia.. Miislam bana... ni zaidi ya Janga katika kuelewa kitu...''Ishmael'' mjalana

Ndugu mbona unajibu Kwa asira hivyo, ebu tulia kidogo, nakushauri nenda kwenye hiyo restaurant waulize hizo picha zinatoka mojakwa moja kwenye receiver au wana TV nyingine wanaitumia km loop out? King'amuzi cha azam binafsi sijaona channel zenye Giza zote zipo. Narudia tena nenda kawaulize vizuri maana mm natoa majibu ya nikionacho sio cha kuambiwa,scientist wanasena no research no right to speak, angalia comment za wenye hicho king' amuzi
 
Tunakatishana tamaa jamani,watu tumejitolea kutoa elimu bure,nyie mnachafua uzi kwa mambo ya kijinga na udini wenu hapa.? Mbona hamtaki kuelimika wa tz.?
 
Tunakatishana tamaa jamani,watu tumejitolea kutoa elimu bure,nyie mnachafua uzi kwa mambo ya kijinga na udini wenu hapa.? Mbona hamtaki kuelimika wa tz.?

Yani bora umeongea mkuu kuna watu wapumbavu sana wanaleta mada za kidini kwenye teknolojia.
Na hapa tunashare FTA chanel wala hatuchakachui PTV wanabeza na kuleta ujinga.
mtu anasema chanel hazina ubora hata hajatafiti, Mi natumia Kisimbusi cha Azam, tv ni HD natumia cable ya HDMI na ubora wa picha ni mkubwa kama mjuavyo Tv za LED zina nyodo sana ukizipa picha isiyo na kiwango utaichukia na kutamani CRT tv. Linatokea jitu linaleta upuuzi.
 
Kuna chanel inatupia Epl live,na jana nimecheki game ya chelsea na everton,kisha man city na stoke,na leo zam ya liverpoo,lakini tutasheaje idear za kuzipata wakati wengne tuna hustle kutafuta,wajinga wanaleta upuuzi hapa.? Mambo yenu ya dini sijui mtume,yesu,ishmaili pelekeni intellijensia uko mkakumbane na akina kiranga,sio hapa bna, kwan mtume/yesu na madish ya FTA wapi na wapi.?

Kuna watu wa hovyo sana umu,tangu jana watu tulikua na nia za kuwapa ujanja mwingne waitaji ili wacheck game za epl,ile kulog in tu, nakuta mambo ya dini.? Nikaona bora nisepe tu,wachemi izo mambo za dini bna. Aaaaqggg
 
Kuna chanel inatupia Epl live,na jana nimecheki game ya chelsea na everton,kisha man city na stoke,na leo zam ya liverpoo,lakini tutasheaje idear za kuzipata wakati wengne tuna hustle kutafuta,wajinga wanaleta upuuzi hapa.? Mambo yenu ya dini sijui mtume,yesu,ishmaili pelekeni intellijensia uko mkakumbane na akina kiranga,sio hapa bna, kwan mtume/yesu na madish ya FTA wapi na wapi.?

Kuna watu wa hovyo sana umu,tangu jana watu tulikua na nia za kuwapa ujanja mwingne waitaji ili wacheck game za epl,ile kulog in tu, nakuta mambo ya dini.? Nikaona bora nisepe tu,wachemi izo mambo za dini bna. Aaaaqggg
Usiwe na hasira mkuu si tuendelee na mambo yetu. Jana kweli walionyesha mechi ya man city na stoke kwenye Rodriguez 2, vip game ya chelsea ilionyeshwa channel gani sikuwepo home.kama kuna channel mpya tufahamishane
 
Usiwe na hasira mkuu si tuendelee na mambo yetu. Jana kweli walionyesha mechi ya man city na stoke kwenye Rodriguez 2, vip game ya chelsea ilionyeshwa channel gani sikuwepo home.kama kuna channel mpya tufahamishane

rdv,pia kukawa na game ya bunda sliga,ni full raha mkuu,hawa rdv,na yaleo wana rusha,wako vizur sana.
 
Kwa hiyo Decoder ya Restaurant na decoder ya nyumbani kwako zinatofautiana? wewe ni zaidi ya Pumba acheni kwenda Madrassa kasomeni shule za Mission akili zenu zikae sawa... nimeandika haya kwa sababu nimeshuhudia.. Miislam bana... ni zaidi ya Janga katika kuelewa kitu...''Ishmael'' mjalana

Sasa hapa dini zina uhusiano gani? Sometimes ukikaa kimya watu hawatojua how s.tu.pid you are! Wewe unaangalia tv kwenye mgahawa, halafu unalalamika giza? Umemsikia nani anayemiliki decoder ya Azam kalalamika kama picha zina giza? Ooh, kwa hiyo chuki yako kwa waislam imeingia mpaka kwa mmiliki wa Azam tv?
 
mkuu achana nao hao wapuuzi wachache lete maujanja leo tucheck game gud day

mkuu kuna fta kama tano hivi zinatupia epl,ila rdv wao wana rusha two games per week,wako poa sana hawa.
 
Ndugu mbona unajibu Kwa asira hivyo, ebu tulia kidogo, nakushauri nenda kwenye hiyo restaurant waulize hizo picha zinatoka mojakwa moja kwenye receiver au wana TV nyingine wanaitumia km loop out? King'amuzi cha azam binafsi sijaona channel zenye Giza zote zipo. Narudia tena nenda kawaulize vizuri maana mm natoa majibu ya nikionacho sio cha kuambiwa,scientist wanasena no research no right to speak, angalia comment za wenye hicho king' amuzi

Labda hapo atakuelewa..
 
Kuna chanel inatupia Epl live,na jana nimecheki game ya chelsea na everton,kisha man city na stoke,na leo zam ya liverpoo,lakini tutasheaje idear za kuzipata wakati wengne tuna hustle kutafuta,wajinga wanaleta upuuzi hapa.? Mambo yenu ya dini sijui mtume,yesu,ishmaili pelekeni intellijensia uko mkakumbane na akina kiranga,sio hapa bna, kwan mtume/yesu na madish ya FTA wapi na wapi.?

Kuna watu wa hovyo sana umu,tangu jana watu tulikua na nia za kuwapa ujanja mwingne waitaji ili wacheck game za epl,ile kulog in tu, nakuta mambo ya dini.? Nikaona bora nisepe tu,wachemi izo mambo za dini bna. Aaaaqggg

Wapeleke mipasho facebook...
 
Frequency zake?

we jamaa kumbe mtu wa hovyo sana wewe, yani mi napinga mambo ya udin ktk uzi wangu,alaf unanambia naleta mipasho.? Mbaya zaidi unaitaji frequence nikupe ili upate chanel ya RDV.? Jinga sana wewe,shda unayo wewe alafu unaleta maneno ya h.e.d.h.i hapa,nenda ka google sara,m.a.k.a.l.i.o wee..
 
we jamaa kumbe mtu wa hovyo sana wewe, yani mi napinga mambo ya udin ktk uzi wangu,alaf unanambia naleta mipasho.? Mbaya zaidi unaitaji frequence nikupe ili upate chanel ya RDV.? Jinga sana wewe,shda unayo wewe alafu unaleta maneno ya h.e.d.h.i hapa,nenda ka google sara,m.a.k.a.l.i.o wee..
mkuu calm down, nafikiri umemquote jamaa vibaya alimaanisha hao wanaobishana mambo ya dini ndio wapeleke facebook not huku.
Hope niko right
 
Back
Top Bottom