Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.

Nimejaribu kwenye dish&decoder ya Zuku kuweka hizo freq & symbolrate, nimepata channels sita: Muvi Combo, Muvi Muviz, MTA International(Hindi channel), RTS 1, RTVGE na CRTV(hii haipo stable sana, kuna kipindi picha zake hazipo clear).

Shukrani kwa #Ph-25
 
Mrejesho nimetumia receive ya mediacom 930plus nimepata chanel 12 ila zina katakata alafu itv eatv na capital zipo scrambled hakuna inayoonesha. Satelite ni PAS 7/10 68.5 East . Nimejaribu kwenye receiver ya azam kwa kuongeza hiyo sat na frequency nimezipata badhi zipo vizuri ila Za IPP hazikuingia hata moja.

Ninatumia dish la Zuku na nimejaribu kuunganisha receiver ya MediaCom 930Plus, nimeitafuta hiyo Satellite Ku_PAS 7/10 (68.5E) kisha nikaweka Frq: 12728, SR : 30000 na Pol: H. Nimepata channels nne(MTA International, RTS1, RTVGE &CRTV)
 
Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.

mkuu mimi nimefanikiwa kupata zote kwenye azam tv, ila tatizo hizo muvi tv channels zinakataa na sijui kwa nn? Msaada plz
 
12728 H 30000
11192 H 3210
12645 H 30000
Hapo pana channel 13
 
1.Azam TV decoder inatumia pia HDMI cable pia ingawa hakuna hata Channel moja ya HD, ila channel zao zina qaulity nzuri kuliko decoder nyingine za Bongo. Wafanyakazi wa Azam TV ukiwauliza mna HD watakujibu ndio ingawa hakuna nadhani hii ni kwa sababu hawajui maana ya HD. Pia channel zao hazigandigandi kama Startimes na wengine.

2. Azam 1 na Azam 2 ndio channel zinazoonyesha VPL mechi mbili kwa pamoja. HAta mechi zinazochezwa mikoani zinaonyeshwa kulingana na uzito wake. Hii ndio kitu inayowafanya watu wengi waipende.

3. Azam TV inaonekana nchi zote kusini mwa jangwa la Sahara. Hii kitu itawafanya wauze sana hasa kwa watanzania wanoishi nchi hizo.

4. Azam TV haina ITV na Star TV. Bado kuna kubaniana na akina Mengi labda na wao wanataka wapewe hizo za Azam 1 & 2 channels kwenye decoder zao.

5. Kwa ujumla Azam TV itauza sana kwa sababu ya kutumia satellite na pia ina channel karibu zote za Kenya na Uganda hivyo watanzania, wakenya na waganda popote walipo kusini mwa sahara wataitaka tuu.

Hapo kwenye red ni Sifa za Kijinga... Azam Tv wenyewe hawawezi kusema wala kujaribu kuongea ulichokisema.... mimi nilitizama pale Magomeni Casablanca Restaurant Channel zina giza hadi nikawaomba waongeze brightness wakasema decoder ya Azam tv ina giza giza..... channel chache ndizo zina uhafadhari. Decoder zenye high quality picture ya kwanza ni DSTV then CTV Zingine zinafuata... Azam wanatumia Decoder za Kichina na china wao ni duplicate hivyo pata picha inakuwaje?

Kama unakumbuka TVT ilipoanza walikuwa wanatumia mitambo ya Sony picha ilikuwa super walipoiingia kwa wachina lol ikawa ni desaster kwao quality mbovu kama dvd fake za movie zinazouzwa barabarani na kariakoo...... usimshindanishe mchina na wataalamu wengine... original na fake havikai pamoja...
 
Hapo kwenye red ni Sifa za Kijinga... Azam Tv wenyewe hawawezi kusema wala kujaribu kuongea ulichokisema.... mimi nilitizama pale Magomeni Casablanca Restaurant Channel zina giza hadi nikawaomba waongeze brightness wakasema decoder ya Azam tv ina giza giza..... channel chache ndizo zina uhafadhari. Decoder zenye high quality picture ya kwanza ni DSTV then CTV Zingine zinafuata... Azam wanatumia Decoder za Kichina na china wao ni duplicate hivyo pata picha inakuwaje?

Kama unakumbuka TVT ilipoanza walikuwa wanatumia mitambo ya Sony picha ilikuwa super walipoiingia kwa wachina lol ikawa ni desaster kwao quality mbovu kama dvd fake za movie zinazouzwa barabarani na kariakoo...... usimshindanishe mchina na wataalamu wengine... original na fake havikai pamoja...

Kwanza umeangalia restaurant, sidhani hata kama ulikuwa na haki ya ku-comment kitu usichokijua. Decoder ya Azam haina giza, na kuwa ya China sio sababu, sidhani kama hata kama umeshaiona, uliza wanaoimiliki badala ya kuishia kuangalia kwenye migahawa na ku-judge. Decoder ya Azam ni one of the best..!
 
Hapo kwenye red ni Sifa za Kijinga... Azam Tv wenyewe hawawezi kusema wala kujaribu kuongea ulichokisema.... mimi nilitizama pale Magomeni Casablanca Restaurant Channel zina giza hadi nikawaomba waongeze brightness wakasema decoder ya Azam tv ina giza giza..... channel chache ndizo zina uhafadhari. Decoder zenye high quality picture ya kwanza ni DSTV then CTV Zingine zinafuata... Azam wanatumia Decoder za Kichina na china wao ni duplicate hivyo pata picha inakuwaje?

Kama unakumbuka TVT ilipoanza walikuwa wanatumia mitambo ya Sony picha ilikuwa super walipoiingia kwa wachina lol ikawa ni desaster kwao quality mbovu kama dvd fake za movie zinazouzwa barabarani na kariakoo...... usimshindanishe mchina na wataalamu wengine... original na fake havikai pamoja...

Aisee unaongea pumba.
 
Binafsi nimejaribu Leo, nimefanikiwa, muhimu hizo frequence zipe satellite yake, mfano AA, pale kwenye LNB freq. zipo zinazoshika Kwa 9750-10550 , na 9750-10600, ndio signal zinakuja,

hatimaye nami nimefanikiwa ku add channel kwenye dekoda ya azam cha msingi ni kubadilisha lnb fr na location
 
Wadau nimefanikiwa kuongeza zingine, cha msingi add satellite nyingine, lnb freq. Weka 97500-10600, location east, longitude 7.0, then tranaponder ingiza zifuatazo, 12645 30000H, 10962 3255H, 11192 3210H, 12520 27500H, 12728 30000H. Kuna channel za drc na west africa.
 
Kwanza umeangalia restaurant, sidhani hata kama ulikuwa na haki ya ku-comment kitu usichokijua. Decoder ya Azam haina giza, na kuwa ya China sio sababu, sidhani kama hata kama umeshaiona, uliza wanaoimiliki badala ya kuishia kuangalia kwenye migahawa na ku-judge. Decoder ya Azam ni one of the best..!

Kwa hiyo Decoder ya Restaurant na decoder ya nyumbani kwako zinatofautiana? wewe ni zaidi ya Pumba acheni kwenda Madrassa kasomeni shule za Mission akili zenu zikae sawa... nimeandika haya kwa sababu nimeshuhudia.. Miislam bana... ni zaidi ya Janga katika kuelewa kitu...''Ishmael'' mjalana
 
Kwa hiyo Decoder ya Restaurant na decoder ya nyumbani kwako zinatofautiana? wewe ni zaidi ya Pumba acheni kwenda Madrassa kasomeni shule za Mission akili zenu zikae sawa... nimeandika haya kwa sababu nimeshuhudia.. Miislam bana... ni zaidi ya Janga katika kuelewa kitu...''Ishmael'' mjalana

Ficha upumbavu wako hatuanzisha hii mada kwaajili ya mipasho hapa kama hujui mambo ya satellite uliza sio kuongea upuuzi.
Naheshimu sheria za Jf la sivyo ningekupa za uso. Umenikera mpuuzi wewe.
 
Aisee unaongea pumba.

hebu point sehemu pumba niliyoongea....

Kama wewe ni mchangiaji humu hongera.... maana mtu akikusoma ulichopost wewe na nilichopost mimi atakupita kwa kasi... ni sawa na kusema mchezaji yule anacheza vibaya huku wewe hujui hata Dana dana... hebu changia hoja hapo tukuone.... uelevu wako.... na inaelekea umeanza kutumia decoder kwa ulazima wa serikali yako hivyo huna uzoefu wa Decoder wa Satellite Receiver...
 
Ficha upumbavu wako hatuanzisha hii mada kwaajili ya mipasho hapa kama hujui mambo ya satellite uliza sio kuongea upuuzi.
Naheshimu sheria za Jf la sivyo ningekupa za uso. Umenikera mpuuzi wewe.
Mwana Madrassa mwingine...wewe ndio unajua huko Mwanza? wewe ndie wa kuficha huo Upumbavu wako... Satellite Receiver nimekuwa natumia tokea mwaka 1987.. na Decoder ya Dstv nimetumia kuanzia mwaka 1993 analogue decoder hadi kuingia Digital Decoder utanieleza nini wewe -----.... najua picture quality zote na quality mbaya... hata Decoder za G-Tv zilikuwa mbovu...
 
Wadau nimefanikiwa kuongeza zingine, cha msingi add satellite nyingine, lnb freq. Weka 97500-10600, location east, longitude 7.0, then tranaponder ingiza zifuatazo, 12645 30000H, 10962 3255H, 11192 3210H, 12520 27500H, 12728 30000H. Kuna channel za drc na west africa.

asante mkuu nimepata chanel 4 nyingine muvi tv afrca unite muvi nyimbo na muvi prism
 
Back
Top Bottom