Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

hatu add ktk azam kwan uelekeo ni mmoja ila angle tofauti,ivyo nakushauri uwe na dish lingne,ft6 nizur kwan unaukika wa kupata sat tatu tofauti tofauti kwa mpigo.

Mkuu hivi atuwezi kupata za star tv na itv kwenye azam?
 
naomba kuelekezwa

bonyeza MENU kisha kisha nenda INSTALLATION bonyeza ok,itakutaka pasword,ingiza zerozero ziwe nne, nb,kama haukuzibadili lakini ndio hua zinakua zerozero nne,

kuna page itafunguka hapo nenda MANUAL SEARCH bonyeza (ok) hapo hapo ktk page itakayo funguka ndipo utaona kuna vitu ivyo unavyo itaji,alafu pembeoi kidogo utaona alama ya kitufe cha njano kimeandikwa NEW, bonyeza na wewe iko kitufe chako cha njano ktk remote yako kuna page itafunguka,hapo sasa anza kujaza maitaj yako huku uki shuka chini ktk kila kipengele kwa kubonyeza arow za ktk remote yako,kisha bonyeza ok, kuscan na utapata izo chnl uzitakazo.

Karibu tena mkuu.
 
Ningependa kujua kama naweza pata hope channel kwenye king'amuzi cha azam
 
Wakuu eeee mimi kdg nakautalaamu kuhusu ict,achaneni na haya ma chanel ya kutumia ma dish iwe ku band ama c band.kanunue smart tv yyte ambayo ina port ya lan(local area network)hutumika kwenye internet then nenda ktk network set up ya menu ktk tv yako uki serch utapata chaneli mpaka elf 4.nb hakikisha umeunganishwa na internet

Unaijua Speed ya Internet ya Kibongo ?
 
Wadau hakuna mwenye frqnc mpya.?
 
kama hujui omba uelekezwe,hii elimu inatolewa bure,na mimi nimeitumia na napata fta vizur tu,labda una wivu unakutafuna.

Mimi nimefuatilia vizuri ila nashindwa kuweka hizo lnb frequency na pia longitude kwa mfano nkiweka 13 inaleta 13.3
Na pia hizo ku band sijaona kitu kama hicho naomba unisaidie hapo. Thanks
 
Kwa hiyo Decoder ya Restaurant na decoder ya nyumbani kwako zinatofautiana? wewe ni zaidi ya Pumba acheni kwenda Madrassa kasomeni shule za Mission akili zenu zikae sawa... nimeandika haya kwa sababu nimeshuhudia.. Miislam bana... ni zaidi ya Janga katika kuelewa kitu...''Ishmael'' mjalana

Udini wa nini sasa? Yaani unatumia reference ya restaurant kuponda AZAM TV?

Quality ya picha za AZAM TV ni bora sana si giza giza kama unavyosema.
 
Mkuu ph-25, je inawezekana ukatumia dish la zuku na decoda ya azam je itaonyesha kitu?
 
King'amuzi cha Azam kimeongeza channels 7 leo,ikiwemo ITV,EATV na CITIZEN.Kazi ni kwako sasa

Burton Jorde
 
Imeongeza channel mbili tu zote za Ipp media.

Hapana imeongeza channels 7,nilizo zitambua haraka haraka ni hizo,maana inapo load siku zote uwa total channels ni 52 ila leo imekuwa 59,hivyo mpya zipo 7.Fanya Auto search utaona mkuu!

BURTON JORDE
 
Back
Top Bottom