Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,213
- 150,500
Bila kuomba mkuu.Mkuu naomba nikuone PM
Bila kuomba mkuu.Mkuu naomba nikuone PM
Kwa upande wangu Technical education ni nzuri zaid na itamfaa yeyote compared to career education
Elimu si kwa ajili ya ajira tu. Jaribu kukaa na watu wasio na elimu ndio utajua umuhimu wake.
Kwa upande wangu Technical education ni nzuri zaid na itamfaa yeyote compared to career education
Hapo sasa ukutane na watu wako katika jamii ya kuweka mbele imani za kishirikina.Watu wasiokuma na elimu wanadanganyana sana mambo obvious tuanze na magonjwa Kuna jiran yetu alipata kansa ya koo ila Sasa waswahili wakawa wanasema Chembe mara kimeo wakaangaika Sasa mzee wangu akamwambia bora uende muhimbili ukacheki shida ni nini.. kufika anakutwa na kansa imeshakomaa
Hili la technical education lishaongelewa sana, Nyerere kaandika vitabu lundo, sijui hata kama watu wanasoma.nilitaka kusema hivyo hivyo pia,
elimu yetu ya secondary iwe flexible,
i just think kwanza, kungekua na wider choices,
masomo yaongezwe,
na pia kungekua na options mtu baada ya kumaliza la saba awe na choice either aende secondary au chuo asome vocational courses...
Mama Ndalichako kama unataka kuacha good legacy then jitahidi kujenga ma library mengi,ujaze vitabu,kila mtu mwenye kujua kusoma na kuandika asome vitabu,.....
Elimu Tanzania haina maana kama itabaki kuwa ya watu wachache waliofika chuo kikuu
wakati kuna limbi kubwa la watu uneducated.....
ivushe Tanzania kielimu...yes you can!
hata sijui naongea nini,lol…..mara napinga,mara nakubali...
Shida sio utitiri WA vyuo Germany inavyuo zaidi ya 100 Sasa sisi 26 sijui ndo tunaita utitiri shida ni mitaala ya kikoloni tunatumia ambayo haina manufaa tena Sasa we mtu anajifunza to calculate distance from the sun kweli ili agundue niniI just think tungekua na na vyuo vingi vya serikali kama VETA,
ambavyo viko regulated kutoa quality education,
tungepiga hatua kubwa kielimu,
huu msululu wa vyuo kama utitiri uangaliwe
…
.pia,hakuna haja ya kutoa mikopo kwa watu kukariri huko chuo,badala yake tu invest huku level za chini,watu wote wapate elimu……
.kwenda chuo iwe option ya mtu kutaka kuwa more professional ,
kungekua na utaratibu wa kusoma vitabu pia ingekuwa kama tool kufanya informed decisions about what to study further....sio kama sasa hivi, unaenda chuo huko ulikopangiwa ukikuta course ngumu and not enjoyable...unalo hilo,.. LOL
Shida sio utitiri WA vyuo Germany inavyuo zaidi ya 100 Sasa sisi 26 sijui ndo tunaita utitiri shida ni mitaala ya kikoloni tunatumia ambayo haina manufaa tena Sasa we mtu anajifunza to calculate distance from the sun kweli ili agundue nini
Hapo sasa ukutane na watu wako katika jamii ya kuweka mbele imani za kishirikina.
Hata kansa utaambiwa mtu karogwa!
Elimu si kwa ajili ya ajira tu. Jaribu kukaa na watu wasio na elimu ndio utajua umuhimu wake.
Hapo ndipo utakapojua nguvu ya mazingira na utamaduni.Hapo hapo kuna waganga wa jadi huwa wanajitangaza kuwa wanazo dawa za kuongeza akili za darasani, wana uwezo wa kufanya ushinde kesi mahakamani, wana uwezo wa kukupatia pesa za majini [jini mapesa], yaani kwa kifupi wana uwezo wa kufanya mengi.
Na kuna watu wanawaamini kabisa hao waganga. Na wapo watu na elimu zao za juu wanaowaamini hao waganga!
Hapo ndo ujue kuwa elimu tu ya darasani si kila kitu!
Maana unaweza ukawa na mashahada yako kibao na bado ukawa mjinga mjinga tu pengine kushinda hata ambao hawana hiyo elimu uliyonayo wewe.
Kwetu wapo wenye akili zaidi ya hao, ina tegemea akili una idifaini vp.Daah,
Mazee ina maana kuzaliwa Madongokuinama Mbombongaaf ndo kumenikosehsa Nobel Prize in Physics?
Enough about me.
Ume raise point moja nzuri sana.
Napenda sana kusoma historia ya Physics. Huwa siku nyingine nawasoma maisha yao kina George Gamow, Georges Lemaitre, Edwin Hubble, Murray-Gell Mann, Paul Dirac, Enrico Fermi, Albert Einstein, Niels Bohr, Wolfgang Pauli, Warner Heisenberg, J. Robert Oppenheimer, Richard Feynman, Kip Thorne, Stephen Hawking, Roger Penrose, etc halafu najiuliza sana.
Hivi hawa magwiji mbona wote watu wa Ulaya na Marekani tu, sanasana utapata wachache wa Asia.
Huku kwetu Africa ina maana hakuna watu wenye akili kama hawa? Au hatujajiwekea mifumo tu ya kuwezeshana?
Mkuu Kiranga, naomba nikufanyie live interview hapa JF, kuna vitu kibao watu wanahitaji kujua kuhusu wewe.Haaa, mkuu, kuna watu wengine ukiendelea sana wanakuona show off na wao nawapa nafasi nisiwakwaze.
Hahaa.
Mimi hii kitu ipo kwenye damu, hata mshua wangu ni mtu wa "personal stories and testifying anecdotes".
Halafu nishapata vindication kwa bosi wangu mmoja, nilikuwa nafanya global project moja, basi yeye kila siku ananiambia anapenda sana ninavyoandika, ananiambia "paint a picture, tell a story".
Yani kuelezea vitu bila hata anecdotal stories naona kama sijakamilisha mambo vile.
Mazee kwanza kabisa nashukuru sana kwa heshima hii.Mkuu Kiranga, naomba nikufanyie live interview hapa JF, kuna vitu kibao watu wanahitaji kujua kuhusu wewe.