Elimu imekusaidiaje?

Elimu imekusaidiaje?

Mkuu Kiranga moja ya vitu ambavyo napenda sana kutoka kwako ni namna ya unavyoweza kuelezea jambo in deep. Hapo kwenyewe umenipa mambo mengi sana nikajikuta nawish uendelee.
Haaa, mkuu, kuna watu wengine ukiendelea sana wanakuona show off na wao nawapa nafasi nisiwakwaze.

Hahaa.

Mimi hii kitu ipo kwenye damu, hata mshua wangu ni mtu wa "personal stories and testifying anecdotes".

Halafu nishapata vindication kwa bosi wangu mmoja, nilikuwa nafanya global project moja, basi yeye kila siku ananiambia anapenda sana ninavyoandika, ananiambia "paint a picture, tell a story".

Yani kuelezea vitu bila hata anecdotal stories naona kama sijakamilisha mambo vile.
 
Haaa, muu, kuna watu wengine ukiendelea sana wanakuona show off na wao nawapa nafasi nisiwakwaze.

Hahaa.

Mimi hii kitu ipo kwenye damu, hata mshua wangu ni mtu wa "personal stories and testifying anecdotes".

Halafu nishapata vindication kwa bosi wangu mmoja, nilikuwa nafanya global project moja, basi yeye kila siku ananiambia anapenda sana ninavyoandika, ananiambia "paint a picture, tell a story".

Yani kuelezea vitu bila hata anecdotal stories naona kama sijakamilisha mambo vile.
Hahahahahaha... Mtu wa fact sana wewe. Tena kizuri zaidi mambo mengi huwa unauelewa nayo.

Mfano mzuri sana wakuigwa wengi tunadhani Elimu ni kile tulichosomea pekee na hapa ndiyo shida inapoanzia.
 
sasa wakuu kama umesoma na hufanyii kazi ulichosomea,wewe una utofauti gani na mtu wa la saba ambae hana fani yeyote…?
Mimi niliyesomea Uhandisi alafu nikaamua kuuza Samaki nitafanya kitaalam zaidi kuliko yule ambae kaishia la 7.
Elimu imenisaidia kujua mambo mengi yanayotendeka Duniani, kufanya kazi zangu in proffesional na kutatua changamoto zinazonikabili kisomi na sio kwa kukurupuka
 
Dada yangu Rebeca 83 asante kwa mada nzuri sana hii.

Kwanza elimu unayoelekea kujikita nayo ni elimu rasmi, hili si jambo baya, elimu rasmi imewekewa viwango na mifumoya kupima vitu.

Lakini elimu ni pana kuliko elimu rasmi.

Ndiyo maana unaweza kuwa na Ph.D yako ya geology, ukaenda misitu ya Congo kufanya uchunguzi wa sehemu za kuchimba madini ya coltran yanayotumika kutengeneza sehemu za simu za mkononi, ukaumwa na nyoka wakali wa misitu ya Congo, halafu wenyeji wa hapo wenye elimu ya asili ya kukabiliana na mazingira yao wakajua tiba, wakaweka kijiwe fulani sehemu uliyoumwa na nyoka, kijiwe kile kikanyonya sumu yote na kukunusuru maisha yako ("Sara's Notebook" anyone?).

Binafsi, naamini sana katika kujisomea mwenyewe nje ya mitaala ya elimu rasmi.

Na tabia hii imenifanya niweze kujua mbivu na mbichi sehemu nyingi, na kila mtu anapotaka kunidanganya kwa uongo mdogo mdogo, naweza kutambua na kukataa habari hizo.

Nitaongea mambo kiujumla zaidi (kwa mfano siwezi kukutajia jinsi elimu ilivyoweza kunifanya niweze kujaza hela benki za Uswizi, joking)

Ukisoma mambo kama logic, computer programming na falsafa, unaweza kuangalia maisha kama a set of propositions, a sort of branching tree, hata maamuzi ya nisome nini, nifanye kazi gani, niishi wapi, nimuoe nani, nichukue risk gani, nisaidie kipi, nijiendeleze wapi etc ni maswali ambayo yanahitaji elimu.

Pia, elimu imenisaida kuweza kufanya utabiri mzuri wa mambo yanayokuja kwa kuangalia yaliyopita na yaliyopo. Ni vigumu kutabiri yanayokuja kama huna elimu inayotakiwa kuweza kuunganisha mambo. Ndiyo maana mtu anaweza kufanya kitu leo kikaonekana cha kijinga (kanunua kiwanja kikubwa Gezaulole shamba huko mwaka 1990, kule atakuja kukaa nani mbona porini?) kumbe baada ya miaka 25 panakuwa mjini na viwanja vinapanda bei sana.

Elimu ya kweli pia inasaidia mtu kuwa mtu bora zaidi. Kuona maana ya kusaidia wengine hata bila ya kujali zawadi ya mbingu wala kuogopa moto (kwa watu tusioamini kuwepo kwa Mungu kama sisi). Mtu unaishi bila woga, lakini kinyume na mategemeo ya wengi kwamba usipoamini Mungu utakuwa valuvalu, elimu yako ya kuweza kuishi na watu, usomi wa dini mbalimbali na jitihada za kufanya mema kwa sababu unapenda kufanya mema tu, zinakufanya uishi vizuri na watu.

Elimu inakupa confidence ya kuwa comfortable katika mazingira tofauti. Miaka kama 15 iliyopita nilialikwa na Warusi fulani kufanya interview World Trade Center. Warusi wana mkwanja sana, walikuwa wanatafuta mtu wa kuangalia systems zao. Nilivyofika chumba cha interview nilikuwa nimekamilisha kuwa na majibu ya maswali ya kazi niliyokuwa naitaka. Nikawekwa chumba cha interview, nilikuwa free vibaya sana, ikatokea mwanzo wa interview tu sijui kukawa na nini nikaongea habari za Stephen Hawking na theoretical physics, basi yule Mrusi interviewer akawa kama kasahau kabisa maswali ya interview ya ile kazi, akawa so interested kujua ninajua nini kuhusu theoretical physics. Badaye, nikaja kugundua kwamba yule Mrusi anatoka katika utamaduni ambao unathamini sana watu wanaoweza kujua mambo kama theoretical physics, watu hawa wanatukuzwa sana kwao kama ma genius (partly due to the Cold War/arms race), kwa hiyo kwake, mtu anayeweza kujielezea kwa kupitia habari za theoretical physics confidently ana uelewa mpana sana na hiyo kazi aliyotaka kunipa nitaielewa kirahisi tu.

Mfano mwingine elimu inakupa confidence katika awkward sitUation ulinitokea high school. Mwalimu wetu mmoja wa General Studies aliingia darasani wiki fulani na kutoa assignment watu wakae makundi, ya watu watatu mpaka watano, waandae presentation, halafu kipindi kinachofuata, kila kikundi kimtaje mtu mmoja aende mbele ya darasa na kufanya presentation. Alisema hajali topic, anataka kuona public speaking and presentation skills.

Basi, kama kawaida yetu wahuni tunadharau General Studies. Mimi na genge langu hatukuwepo darasani siku hiyo. Na kibaya zaidi, tulivyorudi kutoka mizunguko yetu, hata hatukuulizia wenzetu wamefundishwa nini.

Basi kipindi kilichofuata, mwalimu kaja darasani. Anauliza "Mshajiandaa? Nataka muanze kujambele hapa mtoe presentations zenu". Kila mtu anakaa na kikundi chake, wanaanza kwenda mbele. Mimi na wahuni wangu tnang'aa macho, tunauliza, nini kinaendelea hapa?

Basi wakaanza kutoa presentations mara za Geography, mara za Economisc, mara za Statistics. Kila mtu akianza kusema, maswali kibao (hayo ni masomo ambayo kila mtu aliyajua sana).

Kifupi, licha ya kujiandaa kwa wiki nzima, kwalughaya kisasa, "alipata taabu sana".

Basi ikawa watu wa mwisho ni mimi na wahuni wangu wanne, ambao tuliform a natural group ya watu wasio na group.

Jamaa wakasema wewe Kiranga lazima uende kutuwakilisha. Mimi nikapinga, wakaniambia usipoteze muda, jambo hili halina mjadala. Wewe ndiye msemaji sana, huishi stories, wewe ndiye unajua maneno ya ajabu ya Kiingereza, wewe ndiye mtu unayeweza ku perform in front of a crowd, nenda tu.

Sasa mimi najiuliza, niende nitasema nini? Sijajiandaa kwa lolote. Basi ikawa kama inataka kutokea scene pale, watu wanatuangalia. Sasa kaka yako unajua sipendi kutegeana, sipendi scene, sehemu yoyote yenye kutegeana nataka kumaliza mjadala. Nikainuka.

Naanza kuinuka kwenye desk, sijui nitaongea nini.

Napiga hatua kwenda mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nafika karibu na mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nimefika mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nageuka kuliangalia darasa (actually madarasa mawili yaliwekwa pamoja), naona watu wote wananiangalia mimi.

Sijui nitaongea nini.

Naanza kufungua mdomo niongee, sijui nitaongea nini.

Naanza kuongea, "Today I am going to talk ab..."

Sijui nitaongea nini.

Then I make a split second decision "about cosmogony".

Then I hear the entirety of the two classes going like "huuuh" ? "Cosmology" "Cosmetics" ?

Nikasema "Cosmogony is teh science of the beginning of the universe".

Nikawapelekesha kwenye singularity, nikawapelekesha kwenye inflation, Alan Guth's papers, formation of lower atoms, stars and nuclear processes to forge higher atoms, the arrow of time and the second law of thermodynamics, nikaelezea mambo mengi niliyokuwa nasoma wakatihuo USIS library Peugeot House. Nikaongea sana habari za "A Brief History of Time:From The Big Bang To Black Holes".

Mpaka namaliza, hakuna swali hata moja.

Mwalimu wa General Studies akasema "Kwakweli hata mimi sina swali, kwa sababu hizi habari zote ndiyokwanza nazisikia leo".

Nikaona hapa kujisomea kumeniepusha na aibu ya kwamba nilikuwa sijajitayarisha kwa presentation hii.

Kuanzia siku hiyo watu walipenda sana nifanye presentations na nikafanya mbili zaidi, moja ya kuhusu the effects of ChloroFluoroCarbons on depleting the ozone layer and global warming, na nyingine ni kuhusu antibiotics zinavyoleta tatizo la drug resistance kwa bacteria.

Mifano ya jinsi gani elimu inasaidia ni mingi sana. Katika maisha yangu ya kila siku ninaweza kuzungumza na mtu kidogo tu, mtu akapata kuona mvuto wa kipekee kutokana na upana wa mawazo.

Kuhitimisha niseme,elimu inasaidia kupanuamawazo na kumuweeksha mtu kupambana na mazingira yake katika hali tofauti, ndiyo maana hata kama hakuna ajira, kupata elimu kunaweza kumsaidia mtu kujiajiri.
unavitu vingi sana vya kutufundisha nakushauri usiwe mchowe make a thread everyday una madini mtu wangu
 
unavitu vingi sana vya kutufundisha nakushauri usiwe mchowe make a thread everyday una madini mtu wangu
Haina noma, nipo sana hapa najitahidi angalau kila siku niwe natoa uzoefu tunabadilishana mawazo.

Nimegundua kwamba kuna vitu fulani mtu unaweza kuona vya kawaida sana kwako, halafu mimi vikanipa changamoto na hamasa sana, na mimi pia naweza kuona vitu fulani kawaida sana, lakini wewe vikakupa changamoto na hamasa.

Kwa hiyo kama hatubadilishani mawazo, hatuwezi kujua mengi kuhusu changamoto na hamasa hizi.

Moja ya uzuri wa thread kama hii ni pale tunapoweza kuona kukosa matumaini, watu wanahoji kitu kama umuhimu wa elimu, kwa haki kabisa katika muktadha wa dunia ya leo ambayo haina guarantee kwamba elimu itatoa ajira nzuri mtu aliyosomea, halafu wakaja watu wengine na michango mbalimbali ikaonesha kwamba, umuhimu wa elimu unaenda mbali zaidi ya kurahisisha ajira tu, unabadilisha mfumo mzima wa maisha ya mtu.
 
Elimu ni nyenzo ya fikra. Muda mwingine athari zake katika jamii hazijidhihirishi katika umbo ambalo kila mtu anaona.
 
Elimu ni nyenzo ya fikra. Muda mwingine athari zake katika jamii hazijidhihirishi katika umbo ambalo kila mtu anaona.


Exactly wengi wanapima uthamani wa elimu kwa kupata kazi nzuri,

They're totally wrong
 
Mkuu upo vyema sana katika nyanja mbalimbali .Hongera sana kwa hilo Mkuu

Dada yangu Rebeca 83 asante kwa mada nzuri sana hii.

Kwanza elimu unayoelekea kujikita nayo ni elimu rasmi, hili si jambo baya, elimu rasmi imewekewa viwango na mifumo ya kupima vitu.

Lakini elimu ni pana kuliko elimu rasmi.

Ndiyo maana unaweza kuwa na Ph.D yako ya geology, ukaenda misitu ya Congo kufanya uchunguzi wa sehemu za kuchimba madini ya coltran yanayotumika kutengeneza sehemu za simu za mkononi, ukaumwa na nyoka wakali wa misitu ya Congo, halafu wenyeji wa hapo wenye elimu ya asili ya kukabiliana na mazingira yao wakajua tiba, wakaweka kijiwe fulani sehemu uliyoumwa na nyoka, kijiwe kile kikanyonya sumu yote na kukunusuru maisha yako ("Sara's Notebook" anyone?).

Binafsi, naamini sana katika kujisomea mwenyewe nje ya mitaala ya elimu rasmi.

Na tabia hii imenifanya niweze kujua mbivu na mbichi sehemu nyingi, na kila mtu anapotaka kunidanganya kwa uongo mdogo mdogo, naweza kutambua na kukataa habari hizo.

Nitaongea mambo kiujumla zaidi (kwa mfano siwezi kukutajia jinsi elimu ilivyoweza kunifanya niweze kujaza hela benki za Uswizi, joking)

Ukisoma mambo kama logic, computer programming na falsafa, unaweza kuangalia maisha kama a set of propositions, a sort of branching tree, hata maamuzi ya nisome nini, nifanye kazi gani, niishi wapi, nimuoe nani, nichukue risk gani, nisaidie kipi, nijiendeleze wapi etc ni maswali ambayo yanahitaji elimu.

Pia, elimu imenisaida kuweza kufanya utabiri mzuri wa mambo yanayokuja kwa kuangalia yaliyopita na yaliyopo. Ni vigumu kutabiri yanayokuja kama huna elimu inayotakiwa kuweza kuunganisha mambo. Ndiyo maana mtu anaweza kufanya kitu leo kikaonekana cha kijinga (kanunua kiwanja kikubwa Gezaulole shamba huko mwaka 1990, kule atakuja kukaa nani mbona porini?) kumbe baada ya miaka 25 panakuwa mjini na viwanja vinapanda bei sana.

Elimu ya kweli pia inasaidia mtu kuwa mtu bora zaidi. Kuona maana ya kusaidia wengine hata bila ya kujali zawadi ya mbingu wala kuogopa moto (kwa watu tusioamini kuwepo kwa Mungu kama sisi). Mtu unaishi bila woga, lakini kinyume na mategemeo ya wengi kwamba usipoamini Mungu utakuwa valuvalu, elimu yako ya kuweza kuishi na watu, usomi wa dini mbalimbali na jitihada za kufanya mema kwa sababu unapenda kufanya mema tu, zinakufanya uishi vizuri na watu.

Elimu inakupa confidence ya kuwa comfortable katika mazingira tofauti. Miaka kama 15 iliyopita nilialikwa na Warusi fulani kufanya interview World Trade Center. Warusi wana mkwanja sana, walikuwa wanatafuta mtu wa kuangalia systems zao. Nilivyofika chumba cha interview nilikuwa nimekamilisha kuwa na majibu ya maswali ya kazi niliyokuwa naitaka. Nikawekwa chumba cha interview, nilikuwa free vibaya sana, ikatokea mwanzo wa interview tu sijui kukawa na nini nikaongea habari za Stephen Hawking na theoretical physics, basi yule Mrusi interviewer akawa kama kasahau kabisa maswali ya interview ya ile kazi, akawa so interested kujua ninajua nini kuhusu theoretical physics. Badaye, nikaja kugundua kwamba yule Mrusi anatoka katika utamaduni ambao unathamini sana watu wanaoweza kujua mambo kama theoretical physics, watu hawa wanatukuzwa sana kwao kama ma genius (partly due to the Cold War/arms race), kwa hiyo kwake, mtu anayeweza kujielezea kwa kupitia habari za theoretical physics confidently ana uelewa mpana sana na hiyo kazi aliyotaka kunipa nitaielewa kirahisi tu.

Mfano mwingine elimu inakupa confidence katika awkward situation ulinitokea high school. Mwalimu wetu mmoja wa General Studies aliingia darasani wiki fulani na kutoa assignment watu wakae makundi, ya watu watatu mpaka watano, waandae presentation, halafu kipindi kinachofuata, kila kikundi kimtaje mtu mmoja aende mbele ya darasa na kufanya presentation. Alisema hajali topic, anataka kuona public speaking and presentation skills.

Basi, kama kawaida yetu wahuni tunadharau General Studies. Mimi na genge langu hatukuwepo darasani siku hiyo. Na kibaya zaidi, tulivyorudi kutoka mizunguko yetu, hata hatukuulizia wenzetu wamefundishwa nini.

Basi kipindi kilichofuata, mwalimu kaja darasani. Anauliza "Mshajiandaa? Nataka muanze kuja mbele hapa mtoe presentations zenu". Kila mtu anakaa na kikundi chake, wanaanza kwenda mbele. Mimi na wahuni wangu tunang'aa macho, tunauliza, nini kinaendelea hapa?

Basi wakaanza kutoa presentations mara za Geography, mara za Economics, mara za Statistics. Kila mtu akianza kusema, maswali kibao (hayo ni masomo ambayo kila mtu aliyajua sana).

Kifupi, licha ya kujiandaa kwa wiki nzima, kwa lughaya kisasa, "walipata taabu sana".

Basi ikawa watu wa mwisho ni mimi na wahuni wangu wanne, ambao tuliform a natural group ya watu wasio na group.

Jamaa wakasema wewe Kiranga lazima uende kutuwakilisha. Mimi nikapinga, wakaniambia usipoteze muda, jambo hili halina mjadala. Wewe ndiye msemaji sana, huishi stories, wewe ndiye unajua maneno ya ajabu ya Kiingereza, wewe ndiye mtu unayeweza ku perform in front of a crowd, nenda tu.

Sasa mimi najiuliza, niende nitasema nini? Sijajiandaa kwa lolote. Basi ikawa kama inataka kutokea scene pale, watu wanatuangalia. Sasa kaka yako unajua sipendi kutegeana, sipendi scene, sehemu yoyote yenye kutegeana nataka kumaliza mjadala. Nikainuka.

Naanza kuinuka kwenye desk, sijui nitaongea nini.

Napiga hatua kwenda mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nafika karibu na mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nimefika mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nageuka kuliangalia darasa (actually madarasa mawili yaliwekwa pamoja), naona watu wote wananiangalia mimi.

Sijui nitaongea nini.

Naanza kufungua mdomo niongee, sijui nitaongea nini.

Naanza kuongea, "Today I am going to talk ab..."

Sijui nitaongea nini.

Then I make a split second decision "about cosmogony".

Then I hear the entirety of the two classes going like "huuuh" ? "Cosmology?" "Cosmetics?"

Nikasema "Cosmogony is the science of the beginning of the universe".

Nikawapelekesha kwenye singularity, nikawapelekesha kwenye inflation, Alan Guth's papers, formation of lower atoms, stars and nuclear processes to forge higher atoms, the arrow of time and the second law of thermodynamics, nikaelezea mambo mengi niliyokuwa nasoma wakatihuo USIS library Peugeot House. Nikaongea sana habari za "A Brief History of Time:From The Big Bang To Black Holes".

Mpaka namaliza, hakuna swali hata moja.

Mwalimu wa General Studies akasema "Kwakweli hata mimi sina swali, kwa sababu hizi habari zote ndiyo kwanza nazisikia leo".

Nikaona hapa kujisomea kumeniepusha na aibu ya kwamba nilikuwa sijajitayarisha kwa presentation hii.

Kuanzia siku hiyo watu walipenda sana nifanye presentations na nikafanya mbili zaidi, moja ya kuhusu the effects of ChloroFluoroCarbons on depleting the ozone layer and global warming, na nyingine ni kuhusu antibiotics zinavyoleta tatizo la drug resistance kwa bacteria.

Mifano ya jinsi gani elimu inasaidia ni mingi sana. Katika maisha yangu ya kila siku ninaweza kuzungumza na mtu kidogo tu, mtu akapata kuona mvuto wa kipekee kutokana na upana wa mawazo.

Kuhitimisha niseme,elimu inasaidia kupanuamawazo na kumuweeksha mtu kupambana na mazingira yake katika hali tofauti, ndiyo maana hata kama hakuna ajira, kupata elimu kunaweza kumsaidia mtu kujiajiri.
 
Dada yangu Rebeca 83 asante kwa mada nzuri sana hii.

Kwanza elimu unayoelekea kujikita nayo ni elimu rasmi, hili si jambo baya, elimu rasmi imewekewa viwango na mifumoya kupima vitu.

Lakini elimu ni pana kuliko elimu rasmi.

Ndiyo maana unaweza kuwa na Ph.D yako ya geology, ukaenda misitu ya Congo kufanya uchunguzi wa sehemu za kuchimba madini ya coltran yanayotumika kutengeneza sehemu za simu za mkononi, ukaumwa na nyoka wakali wa misitu ya Congo, halafu wenyeji wa hapo wenye elimu ya asili ya kukabiliana na mazingira yao wakajua tiba, wakaweka kijiwe fulani sehemu uliyoumwa na nyoka, kijiwe kile kikanyonya sumu yote na kukunusuru maisha yako ("Sara's Notebook" anyone?).

Binafsi, naamini sana katika kujisomea mwenyewe nje ya mitaala ya elimu rasmi.

Na tabia hii imenifanya niweze kujua mbivu na mbichi sehemu nyingi, na kila mtu anapotaka kunidanganya kwa uongo mdogo mdogo, naweza kutambua na kukataa habari hizo.

Nitaongea mambo kiujumla zaidi (kwa mfano siwezi kukutajia jinsi elimu ilivyoweza kunifanya niweze kujaza hela benki za Uswizi, joking)

Ukisoma mambo kama logic, computer programming na falsafa, unaweza kuangalia maisha kama a set of propositions, a sort of branching tree, hata maamuzi ya nisome nini, nifanye kazi gani, niishi wapi, nimuoe nani, nichukue risk gani, nisaidie kipi, nijiendeleze wapi etc ni maswali ambayo yanahitaji elimu.

Pia, elimu imenisaida kuweza kufanya utabiri mzuri wa mambo yanayokuja kwa kuangalia yaliyopita na yaliyopo. Ni vigumu kutabiri yanayokuja kama huna elimu inayotakiwa kuweza kuunganisha mambo. Ndiyo maana mtu anaweza kufanya kitu leo kikaonekana cha kijinga (kanunua kiwanja kikubwa Gezaulole shamba huko mwaka 1990, kule atakuja kukaa nani mbona porini?) kumbe baada ya miaka 25 panakuwa mjini na viwanja vinapanda bei sana.

Elimu ya kweli pia inasaidia mtu kuwa mtu bora zaidi. Kuona maana ya kusaidia wengine hata bila ya kujali zawadi ya mbingu wala kuogopa moto (kwa watu tusioamini kuwepo kwa Mungu kama sisi). Mtu unaishi bila woga, lakini kinyume na mategemeo ya wengi kwamba usipoamini Mungu utakuwa valuvalu, elimu yako ya kuweza kuishi na watu, usomi wa dini mbalimbali na jitihada za kufanya mema kwa sababu unapenda kufanya mema tu, zinakufanya uishi vizuri na watu.

Elimu inakupa confidence ya kuwa comfortable katika mazingira tofauti. Miaka kama 15 iliyopita nilialikwa na Warusi fulani kufanya interview World Trade Center. Warusi wana mkwanja sana, walikuwa wanatafuta mtu wa kuangalia systems zao. Nilivyofika chumba cha interview nilikuwa nimekamilisha kuwa na majibu ya maswali ya kazi niliyokuwa naitaka. Nikawekwa chumba cha interview, nilikuwa free vibaya sana, ikatokea mwanzo wa interview tu sijui kukawa na nini nikaongea habari za Stephen Hawking na theoretical physics, basi yule Mrusi interviewer akawa kama kasahau kabisa maswali ya interview ya ile kazi, akawa so interested kujua ninajua nini kuhusu theoretical physics. Badaye, nikaja kugundua kwamba yule Mrusi anatoka katika utamaduni ambao unathamini sana watu wanaoweza kujua mambo kama theoretical physics, watu hawa wanatukuzwa sana kwao kama ma genius (partly due to the Cold War/arms race), kwa hiyo kwake, mtu anayeweza kujielezea kwa kupitia habari za theoretical physics confidently ana uelewa mpana sana na hiyo kazi aliyotaka kunipa nitaielewa kirahisi tu.

Mfano mwingine elimu inakupa confidence katika awkward sitUation ulinitokea high school. Mwalimu wetu mmoja wa General Studies aliingia darasani wiki fulani na kutoa assignment watu wakae makundi, ya watu watatu mpaka watano, waandae presentation, halafu kipindi kinachofuata, kila kikundi kimtaje mtu mmoja aende mbele ya darasa na kufanya presentation. Alisema hajali topic, anataka kuona public speaking and presentation skills.

Basi, kama kawaida yetu wahuni tunadharau General Studies. Mimi na genge langu hatukuwepo darasani siku hiyo. Na kibaya zaidi, tulivyorudi kutoka mizunguko yetu, hata hatukuulizia wenzetu wamefundishwa nini.

Basi kipindi kilichofuata, mwalimu kaja darasani. Anauliza "Mshajiandaa? Nataka muanze kujambele hapa mtoe presentations zenu". Kila mtu anakaa na kikundi chake, wanaanza kwenda mbele. Mimi na wahuni wangu tnang'aa macho, tunauliza, nini kinaendelea hapa?

Basi wakaanza kutoa presentations mara za Geography, mara za Economisc, mara za Statistics. Kila mtu akianza kusema, maswali kibao (hayo ni masomo ambayo kila mtu aliyajua sana).

Kifupi, licha ya kujiandaa kwa wiki nzima, kwalughaya kisasa, "alipata taabu sana".

Basi ikawa watu wa mwisho ni mimi na wahuni wangu wanne, ambao tuliform a natural group ya watu wasio na group.

Jamaa wakasema wewe Kiranga lazima uende kutuwakilisha. Mimi nikapinga, wakaniambia usipoteze muda, jambo hili halina mjadala. Wewe ndiye msemaji sana, huishi stories, wewe ndiye unajua maneno ya ajabu ya Kiingereza, wewe ndiye mtu unayeweza ku perform in front of a crowd, nenda tu.

Sasa mimi najiuliza, niende nitasema nini? Sijajiandaa kwa lolote. Basi ikawa kama inataka kutokea scene pale, watu wanatuangalia. Sasa kaka yako unajua sipendi kutegeana, sipendi scene, sehemu yoyote yenye kutegeana nataka kumaliza mjadala. Nikainuka.

Naanza kuinuka kwenye desk, sijui nitaongea nini.

Napiga hatua kwenda mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nafika karibu na mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nimefika mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nageuka kuliangalia darasa (actually madarasa mawili yaliwekwa pamoja), naona watu wote wananiangalia mimi.

Sijui nitaongea nini.

Naanza kufungua mdomo niongee, sijui nitaongea nini.

Naanza kuongea, "Today I am going to talk ab..."

Sijui nitaongea nini.

Then I make a split second decision "about cosmogony".

Then I hear the entirety of the two classes going like "huuuh" ? "Cosmology" "Cosmetics" ?

Nikasema "Cosmogony is teh science of the beginning of the universe".

Nikawapelekesha kwenye singularity, nikawapelekesha kwenye inflation, Alan Guth's papers, formation of lower atoms, stars and nuclear processes to forge higher atoms, the arrow of time and the second law of thermodynamics, nikaelezea mambo mengi niliyokuwa nasoma wakatihuo USIS library Peugeot House. Nikaongea sana habari za "A Brief History of Time:From The Big Bang To Black Holes".

Mpaka namaliza, hakuna swali hata moja.

Mwalimu wa General Studies akasema "Kwakweli hata mimi sina swali, kwa sababu hizi habari zote ndiyokwanza nazisikia leo".

Nikaona hapa kujisomea kumeniepusha na aibu ya kwamba nilikuwa sijajitayarisha kwa presentation hii.

Kuanzia siku hiyo watu walipenda sana nifanye presentations na nikafanya mbili zaidi, moja ya kuhusu the effects of ChloroFluoroCarbons on depleting the ozone layer and global warming, na nyingine ni kuhusu antibiotics zinavyoleta tatizo la drug resistance kwa bacteria.

Mifano ya jinsi gani elimu inasaidia ni mingi sana. Katika maisha yangu ya kila siku ninaweza kuzungumza na mtu kidogo tu, mtu akapata kuona mvuto wa kipekee kutokana na upana wa mawazo.

Kuhitimisha niseme,elimu inasaidia kupanuamawazo na kumuweeksha mtu kupambana na mazingira yake katika hali tofauti, ndiyo maana hata kama hakuna ajira, kupata elimu kunaweza kumsaidia mtu kujiajiri.

Asante Sana kaka mkubwa... naona umefunguka haswaa ..ni vizuri mkuu kutuelimisha wengine ....Hilo la confidence nimekupata sawia..kufanya presentation Becky ujanja wote kwishney LOL....Ila nimegundua sio peke yangu LOL....

.... nimegundua nchi nyingine mfumo Wao wa elimu unawa encourages watoto kujisomea , kuongea mbele ya darasa wakiwa wadogo, hivyo ni skills anakua nayo...by the time Yuko Chuo ni mtu anajiamini ....Leo wameweka presentation kwa course nyingi za chuo ,watu wanastruggle sababu ni vitu vigeni kwao! Wangekua wanafundisha kuanzia secondary....ingewajengea watu confidence taratibu

tuna culture ya kukariri pia, Enzi zile unakuta essay darasa zima limeandika vitu hivyo hivyo LOL na mwalimu anatick siku zinakwenda...... inabidi huo mfumo huu wa elimu ...ubadilike watu wademonstrate ujuzi wao na kuleta vitu vipya Dunia hii....

Binafsi,siamini umfundishe vitu complex mtu kwa miaka mitatu tu atoke hapo amepikika unless Huyo mtu seriously asome vitabu .... Jambo ambalo hata mtu wa darasa la Saba anaweza kufanya hivyo,,,,

Nimeona mahali pia,watu kwa kuwa wamesoma vitabu kuanzia utotoni, by the time amemaliza form six ana knowledge kubwa kushinda mtu aliyeenda chuo....

Sijui km nimeeleweka lol
 
....

Nimeona mahali pia,watu kwa kuwa wamesoma vitabu kuanzia watoto by the time amemaliza form six ana knowledge kubwa kushinda mtu aliyeenda chuo....

Sijui km nimeeleweka lol
Hapana.

Nahitaji subtitles ili nikuelewe vizuri.

Nisameheni jamani
 
Elimu yangu imenisaidia kujua Dunia inakwendaje tu lakini kiuchumi ina mchango wa 0%
 
Asa mnaosema Elimu sio kuajiriwa mbona mmewaacha wasomi wengine Kwenye benchi ?? Unamfundisha mtu course chuo Ili aje Kukaa kwenye benchi? Something is wrong somewhere.... embu tufikirie deep...
 
Dada yangu Rebeca 83 asante kwa mada nzuri sana hii.

Kwanza elimu unayoelekea kujikita nayo ni elimu rasmi, hili si jambo baya, elimu rasmi imewekewa viwango na mifumo ya kupima vitu.

Lakini elimu ni pana kuliko elimu rasmi.

Ndiyo maana unaweza kuwa na Ph.D yako ya geology, ukaenda misitu ya Congo kufanya uchunguzi wa sehemu za kuchimba madini ya coltran yanayotumika kutengeneza sehemu za simu za mkononi, ukaumwa na nyoka wakali wa misitu ya Congo, halafu wenyeji wa hapo wenye elimu ya asili ya kukabiliana na mazingira yao wakajua tiba, wakaweka kijiwe fulani sehemu uliyoumwa na nyoka, kijiwe kile kikanyonya sumu yote na kukunusuru maisha yako ("Sara's Notebook" anyone?).

Binafsi, naamini sana katika kujisomea mwenyewe nje ya mitaala ya elimu rasmi.

Na tabia hii imenifanya niweze kujua mbivu na mbichi sehemu nyingi, na kila mtu anapotaka kunidanganya kwa uongo mdogo mdogo, naweza kutambua na kukataa habari hizo.

Nitaongea mambo kiujumla zaidi (kwa mfano siwezi kukutajia jinsi elimu ilivyoweza kunifanya niweze kujaza hela benki za Uswizi, joking)

Ukisoma mambo kama logic, computer programming na falsafa, unaweza kuangalia maisha kama a set of propositions, a sort of branching tree, hata maamuzi ya nisome nini, nifanye kazi gani, niishi wapi, nimuoe nani, nichukue risk gani, nisaidie kipi, nijiendeleze wapi etc ni maswali ambayo yanahitaji elimu.

Pia, elimu imenisaida kuweza kufanya utabiri mzuri wa mambo yanayokuja kwa kuangalia yaliyopita na yaliyopo. Ni vigumu kutabiri yanayokuja kama huna elimu inayotakiwa kuweza kuunganisha mambo. Ndiyo maana mtu anaweza kufanya kitu leo kikaonekana cha kijinga (kanunua kiwanja kikubwa Gezaulole shamba huko mwaka 1990, kule atakuja kukaa nani mbona porini?) kumbe baada ya miaka 25 panakuwa mjini na viwanja vinapanda bei sana.

Elimu ya kweli pia inasaidia mtu kuwa mtu bora zaidi. Kuona maana ya kusaidia wengine hata bila ya kujali zawadi ya mbingu wala kuogopa moto (kwa watu tusioamini kuwepo kwa Mungu kama sisi). Mtu unaishi bila woga, lakini kinyume na mategemeo ya wengi kwamba usipoamini Mungu utakuwa valuvalu, elimu yako ya kuweza kuishi na watu, usomi wa dini mbalimbali na jitihada za kufanya mema kwa sababu unapenda kufanya mema tu, zinakufanya uishi vizuri na watu.

Elimu inakupa confidence ya kuwa comfortable katika mazingira tofauti. Miaka kama 15 iliyopita nilialikwa na Warusi fulani kufanya interview World Trade Center. Warusi wana mkwanja sana, walikuwa wanatafuta mtu wa kuangalia systems zao. Nilivyofika chumba cha interview nilikuwa nimekamilisha kuwa na majibu ya maswali ya kazi niliyokuwa naitaka. Nikawekwa chumba cha interview, nilikuwa free vibaya sana, ikatokea mwanzo wa interview tu sijui kukawa na nini nikaongea habari za Stephen Hawking na theoretical physics, basi yule Mrusi interviewer akawa kama kasahau kabisa maswali ya interview ya ile kazi, akawa so interested kujua ninajua nini kuhusu theoretical physics. Badaye, nikaja kugundua kwamba yule Mrusi anatoka katika utamaduni ambao unathamini sana watu wanaoweza kujua mambo kama theoretical physics, watu hawa wanatukuzwa sana kwao kama ma genius (partly due to the Cold War/arms race), kwa hiyo kwake, mtu anayeweza kujielezea kwa kupitia habari za theoretical physics confidently ana uelewa mpana sana na hiyo kazi aliyotaka kunipa nitaielewa kirahisi tu.

Mfano mwingine elimu inakupa confidence katika awkward situation ulinitokea high school. Mwalimu wetu mmoja wa General Studies aliingia darasani wiki fulani na kutoa assignment watu wakae makundi, ya watu watatu mpaka watano, waandae presentation, halafu kipindi kinachofuata, kila kikundi kimtaje mtu mmoja aende mbele ya darasa na kufanya presentation. Alisema hajali topic, anataka kuona public speaking and presentation skills.

Basi, kama kawaida yetu wahuni tunadharau General Studies. Mimi na genge langu hatukuwepo darasani siku hiyo. Na kibaya zaidi, tulivyorudi kutoka mizunguko yetu, hata hatukuulizia wenzetu wamefundishwa nini.

Basi kipindi kilichofuata, mwalimu kaja darasani. Anauliza "Mshajiandaa? Nataka muanze kuja mbele hapa mtoe presentations zenu". Kila mtu anakaa na kikundi chake, wanaanza kwenda mbele. Mimi na wahuni wangu tunang'aa macho, tunauliza, nini kinaendelea hapa?

Basi wakaanza kutoa presentations mara za Geography, mara za Economics, mara za Statistics. Kila mtu akianza kusema, maswali kibao (hayo ni masomo ambayo kila mtu aliyajua sana).

Kifupi, licha ya kujiandaa kwa wiki nzima, kwa lughaya kisasa, "walipata taabu sana".

Basi ikawa watu wa mwisho ni mimi na wahuni wangu wanne, ambao tuliform a natural group ya watu wasio na group.

Jamaa wakasema wewe Kiranga lazima uende kutuwakilisha. Mimi nikapinga, wakaniambia usipoteze muda, jambo hili halina mjadala. Wewe ndiye msemaji sana, huishi stories, wewe ndiye unajua maneno ya ajabu ya Kiingereza, wewe ndiye mtu unayeweza ku perform in front of a crowd, nenda tu.

Sasa mimi najiuliza, niende nitasema nini? Sijajiandaa kwa lolote. Basi ikawa kama inataka kutokea scene pale, watu wanatuangalia. Sasa kaka yako unajua sipendi kutegeana, sipendi scene, sehemu yoyote yenye kutegeana nataka kumaliza mjadala. Nikainuka.

Naanza kuinuka kwenye desk, sijui nitaongea nini.

Napiga hatua kwenda mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nafika karibu na mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nimefika mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nageuka kuliangalia darasa (actually madarasa mawili yaliwekwa pamoja), naona watu wote wananiangalia mimi.

Sijui nitaongea nini.

Naanza kufungua mdomo niongee, sijui nitaongea nini.

Naanza kuongea, "Today I am going to talk ab..."

Sijui nitaongea nini.

Then I make a split second decision "about cosmogony".

Then I hear the entirety of the two classes going like "huuuh" ? "Cosmology?" "Cosmetics?"

Nikasema "Cosmogony is the science of the beginning of the universe".

Nikawapelekesha kwenye singularity, nikawapelekesha kwenye inflation, Alan Guth's papers, formation of lower atoms, stars and nuclear processes to forge higher atoms, the arrow of time and the second law of thermodynamics, nikaelezea mambo mengi niliyokuwa nasoma wakatihuo USIS library Peugeot House. Nikaongea sana habari za "A Brief History of Time:From The Big Bang To Black Holes".

Mpaka namaliza, hakuna swali hata moja.

Mwalimu wa General Studies akasema "Kwakweli hata mimi sina swali, kwa sababu hizi habari zote ndiyo kwanza nazisikia leo".

Nikaona hapa kujisomea kumeniepusha na aibu ya kwamba nilikuwa sijajitayarisha kwa presentation hii.

Kuanzia siku hiyo watu walipenda sana nifanye presentations na nikafanya mbili zaidi, moja ya kuhusu the effects of ChloroFluoroCarbons on depleting the ozone layer and global warming, na nyingine ni kuhusu antibiotics zinavyoleta tatizo la drug resistance kwa bacteria.

Mifano ya jinsi gani elimu inasaidia ni mingi sana. Katika maisha yangu ya kila siku ninaweza kuzungumza na mtu kidogo tu, mtu akapata kuona mvuto wa kipekee kutokana na upana wa mawazo.

Kuhitimisha niseme,elimu inasaidia kupanuamawazo na kumuweeksha mtu kupambana na mazingira yake katika hali tofauti, ndiyo maana hata kama hakuna ajira, kupata elimu kunaweza kumsaidia mtu kujiajiri.
We mzee Mtata sana
 
Elimu yangu imenisaidia kujua Dunia inakwendaje tu lakini kiuchumi ina mchango wa 0%


Japo sikujui wala sikufahamu lakini kwa hilo ulisemalo sina imani nalo sana

Mkuu kuna sehemu elimu yako imekusaidia tu tofaut na hapo , hata kuweza kuja JF na kusoma jinsi ya kulima nyanya ni zao la darasa ulilokwenda

Kwahyo wataka kusema hakuna lolote elimi yako imekufanyia zaid ya kufahamu dunia inakwendaje ?

Kama ntakuwa nimekwenda mbali sana unisamehe Mkuu
 
Dada yangu Rebeca 83 asante kwa mada nzuri sana hii.

Kwanza elimu unayoelekea kujikita nayo ni elimu rasmi, hili si jambo baya, elimu rasmi imewekewa viwango na mifumo ya kupima vitu.

Lakini elimu ni pana kuliko elimu rasmi.

Ndiyo maana unaweza kuwa na Ph.D yako ya geology, ukaenda misitu ya Congo kufanya uchunguzi wa sehemu za kuchimba madini ya coltran yanayotumika kutengeneza sehemu za simu za mkononi, ukaumwa na nyoka wakali wa misitu ya Congo, halafu wenyeji wa hapo wenye elimu ya asili ya kukabiliana na mazingira yao wakajua tiba, wakaweka kijiwe fulani sehemu uliyoumwa na nyoka, kijiwe kile kikanyonya sumu yote na kukunusuru maisha yako ("Sara's Notebook" anyone?).

Binafsi, naamini sana katika kujisomea mwenyewe nje ya mitaala ya elimu rasmi.

Na tabia hii imenifanya niweze kujua mbivu na mbichi sehemu nyingi, na kila mtu anapotaka kunidanganya kwa uongo mdogo mdogo, naweza kutambua na kukataa habari hizo.

Nitaongea mambo kiujumla zaidi (kwa mfano siwezi kukutajia jinsi elimu ilivyoweza kunifanya niweze kujaza hela benki za Uswizi, joking)

Ukisoma mambo kama logic, computer programming na falsafa, unaweza kuangalia maisha kama a set of propositions, a sort of branching tree, hata maamuzi ya nisome nini, nifanye kazi gani, niishi wapi, nimuoe nani, nichukue risk gani, nisaidie kipi, nijiendeleze wapi etc ni maswali ambayo yanahitaji elimu.

Pia, elimu imenisaida kuweza kufanya utabiri mzuri wa mambo yanayokuja kwa kuangalia yaliyopita na yaliyopo. Ni vigumu kutabiri yanayokuja kama huna elimu inayotakiwa kuweza kuunganisha mambo. Ndiyo maana mtu anaweza kufanya kitu leo kikaonekana cha kijinga (kanunua kiwanja kikubwa Gezaulole shamba huko mwaka 1990, kule atakuja kukaa nani mbona porini?) kumbe baada ya miaka 25 panakuwa mjini na viwanja vinapanda bei sana.

Elimu ya kweli pia inasaidia mtu kuwa mtu bora zaidi. Kuona maana ya kusaidia wengine hata bila ya kujali zawadi ya mbingu wala kuogopa moto (kwa watu tusioamini kuwepo kwa Mungu kama sisi). Mtu unaishi bila woga, lakini kinyume na mategemeo ya wengi kwamba usipoamini Mungu utakuwa valuvalu, elimu yako ya kuweza kuishi na watu, usomi wa dini mbalimbali na jitihada za kufanya mema kwa sababu unapenda kufanya mema tu, zinakufanya uishi vizuri na watu.

Elimu inakupa confidence ya kuwa comfortable katika mazingira tofauti. Miaka kama 15 iliyopita nilialikwa na Warusi fulani kufanya interview World Trade Center. Warusi wana mkwanja sana, walikuwa wanatafuta mtu wa kuangalia systems zao. Nilivyofika chumba cha interview nilikuwa nimekamilisha kuwa na majibu ya maswali ya kazi niliyokuwa naitaka. Nikawekwa chumba cha interview, nilikuwa free vibaya sana, ikatokea mwanzo wa interview tu sijui kukawa na nini nikaongea habari za Stephen Hawking na theoretical physics, basi yule Mrusi interviewer akawa kama kasahau kabisa maswali ya interview ya ile kazi, akawa so interested kujua ninajua nini kuhusu theoretical physics. Badaye, nikaja kugundua kwamba yule Mrusi anatoka katika utamaduni ambao unathamini sana watu wanaoweza kujua mambo kama theoretical physics, watu hawa wanatukuzwa sana kwao kama ma genius (partly due to the Cold War/arms race), kwa hiyo kwake, mtu anayeweza kujielezea kwa kupitia habari za theoretical physics confidently ana uelewa mpana sana na hiyo kazi aliyotaka kunipa nitaielewa kirahisi tu.

Mfano mwingine elimu inakupa confidence katika awkward situation ulinitokea high school. Mwalimu wetu mmoja wa General Studies aliingia darasani wiki fulani na kutoa assignment watu wakae makundi, ya watu watatu mpaka watano, waandae presentation, halafu kipindi kinachofuata, kila kikundi kimtaje mtu mmoja aende mbele ya darasa na kufanya presentation. Alisema hajali topic, anataka kuona public speaking and presentation skills.

Basi, kama kawaida yetu wahuni tunadharau General Studies. Mimi na genge langu hatukuwepo darasani siku hiyo. Na kibaya zaidi, tulivyorudi kutoka mizunguko yetu, hata hatukuulizia wenzetu wamefundishwa nini.

Basi kipindi kilichofuata, mwalimu kaja darasani. Anauliza "Mshajiandaa? Nataka muanze kuja mbele hapa mtoe presentations zenu". Kila mtu anakaa na kikundi chake, wanaanza kwenda mbele. Mimi na wahuni wangu tunang'aa macho, tunauliza, nini kinaendelea hapa?

Basi wakaanza kutoa presentations mara za Geography, mara za Economics, mara za Statistics. Kila mtu akianza kusema, maswali kibao (hayo ni masomo ambayo kila mtu aliyajua sana).

Kifupi, licha ya kujiandaa kwa wiki nzima, kwa lughaya kisasa, "walipata taabu sana".

Basi ikawa watu wa mwisho ni mimi na wahuni wangu wanne, ambao tuliform a natural group ya watu wasio na group.

Jamaa wakasema wewe Kiranga lazima uende kutuwakilisha. Mimi nikapinga, wakaniambia usipoteze muda, jambo hili halina mjadala. Wewe ndiye msemaji sana, huishi stories, wewe ndiye unajua maneno ya ajabu ya Kiingereza, wewe ndiye mtu unayeweza ku perform in front of a crowd, nenda tu.

Sasa mimi najiuliza, niende nitasema nini? Sijajiandaa kwa lolote. Basi ikawa kama inataka kutokea scene pale, watu wanatuangalia. Sasa kaka yako unajua sipendi kutegeana, sipendi scene, sehemu yoyote yenye kutegeana nataka kumaliza mjadala. Nikainuka.

Naanza kuinuka kwenye desk, sijui nitaongea nini.

Napiga hatua kwenda mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nafika karibu na mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nimefika mbele darasani, sijui nitaongea nini.

Nageuka kuliangalia darasa (actually madarasa mawili yaliwekwa pamoja), naona watu wote wananiangalia mimi.

Sijui nitaongea nini.

Naanza kufungua mdomo niongee, sijui nitaongea nini.

Naanza kuongea, "Today I am going to talk ab..."

Sijui nitaongea nini.

Then I make a split second decision "about cosmogony".

Then I hear the entirety of the two classes going like "huuuh" ? "Cosmology?" "Cosmetics?"

Nikasema "Cosmogony is the science of the beginning of the universe".

Nikawapelekesha kwenye singularity, nikawapelekesha kwenye inflation, Alan Guth's papers, formation of lower atoms, stars and nuclear processes to forge higher atoms, the arrow of time and the second law of thermodynamics, nikaelezea mambo mengi niliyokuwa nasoma wakatihuo USIS library Peugeot House. Nikaongea sana habari za "A Brief History of Time:From The Big Bang To Black Holes".

Mpaka namaliza, hakuna swali hata moja.

Mwalimu wa General Studies akasema "Kwakweli hata mimi sina swali, kwa sababu hizi habari zote ndiyo kwanza nazisikia leo".

Nikaona hapa kujisomea kumeniepusha na aibu ya kwamba nilikuwa sijajitayarisha kwa presentation hii.

Kuanzia siku hiyo watu walipenda sana nifanye presentations na nikafanya mbili zaidi, moja ya kuhusu the effects of ChloroFluoroCarbons on depleting the ozone layer and global warming, na nyingine ni kuhusu antibiotics zinavyoleta tatizo la drug resistance kwa bacteria.

Mifano ya jinsi gani elimu inasaidia ni mingi sana. Katika maisha yangu ya kila siku ninaweza kuzungumza na mtu kidogo tu, mtu akapata kuona mvuto wa kipekee kutokana na upana wa mawazo.

Kuhitimisha niseme,elimu inasaidia kupanuamawazo na kumuweeksha mtu kupambana na mazingira yake katika hali tofauti, ndiyo maana hata kama hakuna ajira, kupata elimu kunaweza kumsaidia mtu kujiajiri.
Mkuu hongera lakini kuna kitu nakiona cha ziada hapo. Kuna utafauti wa mazingira ya jinsi anavyoipata elimu.
 
Point sana Mkuu Rebeca 83 , Watu wengi wanababika sana wanapohitajika kuzungumza mbele za watu,
Naamin ni mfumo wetu wa elimu haumjengei mwanafunzi uwezo wa kukabiliana na mazingira ya mbele za watu wengi katika muktadha wa kuzungumza kwa ujasiri


Asante Sana kaka mkubwa... naona umefunguka haswaa ..ni vizuri mkuu kutuelimisha wengine ....Hilo la confidence nimekupata sawia..kufanya presentation Becky ujanja wote kwishney LOL....Ila nimegundua sio peke yangu LOL........ nimegundua sehemu nyingine mfumo Wao wa elimu unawa encourages watoto kujisomea , kuongea mbele ya darasa wakiwa wadogo, hivyo ni skills anakua nayo...by the time Yuko Chuo ni mtu anajiamini ....Leo wameweka presentation kwa course nyingi za chuo ,watu wanastruggle sababu ni vitu vigeni kwao! Wangekua wanafundisha kuanzia secondary....ingewajengea watu confidence taratibu

tuna culture ya kukariri pia, Enzi zile unakuta essay darasa zima limeandika vitu hivyo hivyo LOL na mwalimu anatick siku zinakwenda...... inabidi huo mfumo huu wa elimu ...ubadilike watu wademonstrate ujuzi wao na kuleta vitu vipya Dunia hii....

Binafsi,siamini umfundishe vitu complex mtu kwa miaka mitatu tu atoke hapo atoke amepikika unless Huyo mtu seriously asome vitabu .... Jambo ambalo hata mtu wa darasa la Saba anaweza kufanya hivyo,,,,

Nimeona mahali pia,watu kwa kuwa wamesoma vitabu kuanzia watoto by the time amemaliza form six ana knowledge kubwa kushinda mtu aliyeenda chuo....

Sijui km nimeeleweka lol
wa
 
Japo sikujui wala sikufahamu lakini kwa hilo ulisemalo sina imani nalo sana

Mkuu kuna sehemu elimu yako imekusaidia tu tofaut na hapo , hata kuweza kuja JF na kusoma jinsi ya kulima nyanya ni zao la darasa ulilokwenda

Kwahyo wataka kusema hakuna lolote elimi yako imekufanyia zaid ya kufahamu dunia inakwendaje ?

Kama ntakuwa nimekwenda mbali sana unisamehe Mkuu
Mangi lemule;
Hujanikosea hadi uniombe msamaha mkuu
Kiukweli kabisa kwa kozi niliyosoma mm haijwahi kuniingizia hata laki. Nimejikita zaidi kutumia ujuzi mwingine kabisa ambao nimezaliwa nao na kusoma soma vitabu tu.
 
Back
Top Bottom