eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Navuja mno kati nafikiria kulud kwenye double Pivot😃😃😃
Screenshot_20250425-225243.png
 
Selikavu bando lilikata njiani. Ila mechi zako unanisumbuaga sana😃🔥
Leo mkuu umekaba adi vivuli🙌


Kuna game ya pili nadhani sijatoka na shot hata moja😃


Inabidi siku mkuu nipate mechi tano ukiwa free za dakika 10

Nadhani nikizipata hizo kwa pamoja nitajifunza kitu...maana nimeshaona direction zangu zipo vibaya sana pamoja na upokeaji mipira na dribbling za kutoka watu... Nadhan kwenye hizo game naweza nikajirekebisha baada ya kuona shida ipo wap ninapopoteza mipira🙏🙏
 
Razorblade matokeo ya leo nimekufungwa game mbili na mpira mkubwa,
nikapiga chafya moja nikapata draw ila baada ya kuongea na Bibi kijijin kule

Hii nimetoka bila hata shot moja 😃😃😃🙌🙌🙌🙌kosa ambalo wewe huwezi fanya😃
Screenshot_20250425-235703.png
 
Leo mkuu umekaba adi vivuli🙌


Kuna game ya pili nadhani sijatoka na shot hata moja😃


Inabidi siku mkuu nipate mechi tano ukiwa free za dakika 10

Nadhani nikizipata hizo kwa pamoja nitajifunza kitu...maana nimeshaona direction zangu zipo vibaya sana pamoja na upokeaji mipira na dribbling za kutoka watu... Nadhan kwenye hizo game naweza nikajirekebisha baada ya kuona shida ipo wap ninapopoteza mipira🙏🙏
Upo vizuri 4312 unaitendea haki
 
Back
Top Bottom