NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Ni mimi huyo😃 nililipa kisasi ulinipiga week 2 nyuma😃😅😅kuna mtu umu ali nipiga 4 ,natafuta mfumo mpya maana nlkua nimezoea 4-1-2-3 na 4-3-3
Ni mimi huyo😃 nililipa kisasi ulinipiga week 2 nyuma😃😅😅kuna mtu umu ali nipiga 4 ,natafuta mfumo mpya maana nlkua nimezoea 4-1-2-3 na 4-3-3
Mbona umefunga room mkuu?02689444
😅😅itabidi twende fainalNi mimi huyo😃 nililipa kisasi ulinipiga week 2 nyuma😃View attachment 3314584
Haya twende sasa leo nimekuja na kikosi ndogo 😂.Nimeona amji
02752235
😅😅😅icho kikosi kweli cha mazoeziHaya twende sasa leo nimekuja na kikosi ndogo 😂.
Hiki kikosi cha dogo na hapo huyo kocha na hao akina messi nimewafungua kabla sijaingia room, mbaya zaidi simu anayotumia sasa 😂.😅😅😅icho kikosi kweli cha mazoezi
Mie simu leo imepiga kazi sana mkuu labda kesho.
Kesho mkuu kuanzia saa 4Oya wakuu, nani aliyepo free turuke?
Umemnunua?Mwalimu Selikavu leo nimewaacha wacheze wenyewe aisee wanapiga mali hatari.
Hii inaleta raha zaidi siku ukiwa umeshinda nyumbani halafu huna movie mpya na hujiskii kucheza game, unawasha smart view kwenye simu unaunga na smart tv yako unakula burudani 😂.
Konami leo asubuhi wameamua kunitunuku coins 130 na kuifanya kazi ya kumpata G.P. Gesperin kuwa rahisi.
View attachment 3314963
Leo ni Gesperin Day.
Tayari ninae mkuu.Umemnunua?
Twenzetu tukamjaribu 😄Tayari ninae mkuu.
Ikipatikana nafasi tutagusa usiku mkuu.Twenzetu tukamjaribu 😄