eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mwalimu Selikavu leo nimewaacha wacheze wenyewe aisee wanapiga mali hatari.

Hii inaleta raha zaidi siku ukiwa umeshinda nyumbani halafu huna movie mpya na hujiskii kucheza game, unawasha smart view kwenye simu unaunga na smart tv yako unakula burudani 😂.

Konami leo asubuhi wameamua kunitunuku coins 130 na kuifanya kazi ya kumpata G.P. Gesperin kuwa rahisi.
View attachment 3314963

Leo ni Gesperin Day.
Unafoka kabisa toa pass umbwaa wewe🤣🤣
 
Mwalimu Selikavu leo nimewaacha wacheze wenyewe aisee wanapiga mali hatari.

Hii inaleta raha zaidi siku ukiwa umeshinda nyumbani halafu huna movie mpya na hujiskii kucheza game, unawasha smart view kwenye simu unaunga na smart tv yako unakula burudani 😂.

Konami leo asubuhi wameamua kunitunuku coins 130 na kuifanya kazi ya kumpata G.P. Gesperin kuwa rahisi.
View attachment 3314963

Leo ni Gesperin Day.
LBC player in town🤣
 
Unafoka kabisa toa pass umbwaa wewe🤣🤣
Kama ulikuwepo mkuu walikuwa wananikera kama vile nilikuwa naangalia mpira, kuna mechi 1 ilibidi kipindi cha pili dakika ya 70+ nicheze mwenyewe ilikuwa tayari nimefungwa 1-0, nikarudisha goli na mpira ukaisha 😂.

Mechi zilikuwa tamu sana, mechi ya mwisho wakashinda 5-0 😂.
 
LBC player in town🤣
Hamna mkuu mimi nitaendelea kutumia QC kama chaguo la kwanza ila mara nyingi huwa napenda kubadiri playstyle kwa kila kipindi hii LBC itakuwa nzuri kwangu hata nikizidiwa 😂.

Halafu hata kwenye uhalisia timu nyingi duniani kwa sasa zinatumia QC na LBC 😂.
 
Kama ulikuwepo mkuu walikuwa wananikera kama vile nilikuwa naangalia mpira, kuna mechi 1 ilibidi kipindi cha pili dakika ya 70+ nicheze mwenyewe ilikuwa tayari nimefungwa 1-0, nikarudisha goli na mpira ukaisha 😂.

Mechi zilikuwa tamu sana, mechi ya mwisho wakashinda 5-0 😂.
Me kuna siku my league nilikuwa nimefungwa alafu alikuwa anaongoza ligi man city


Nikaona nilishalipoteza kombe


Nikaweka AI Control mpk ubingwa nikachukua wajomba walishinda game zote wakati mimi legend wamenisumbua mno
 
Hamna mkuu mimi nitaendelea kutumia QC kama chaguo la kwanza ila mara nyingi huwa napenda kubadiri playstyle kwa kila kipindi hii LBC itakuwa nzuri kwangu hata nikizidiwa 😂.

Halafu hata kwenye uhalisia timu nyingi duniani kwa sasa zinatumia QC na LBC 😂.
Sawaa kaka nzuri hiyo..

Nadhan kwakua unategemea long balls mabeki watakuwa hawatoki sana
 
Me kuna siku my league nilikuwa nimefungwa alafu alikuwa anaongoza ligi man city


Nikaona nilishalipoteza kombe


Nikaweka AI Control mpk ubingwa nikachukua wajomba walishinda game zote wakati mimi legend wamenisumbua mno
Kumbe na kwenye My League ipo, nipo nafasi ya 3 sasahivi nitawawekea hiyo.
 
Back
Top Bottom