eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Huyu jamaa amenikimbia hata kipindi cha kwanza hakijaisha, uzuri hata ukikimbia idadi ya goli inabaki hiyohiyo, angerudi kipindi cha pili huyu angefia uwanjani 😂.
IMG-20250419-WA0022.jpg


Kanivusha kwenda dvn 4, tangu nimeanza kucheza leo nimekutana na wenye badge za dvn 1 na 2 na huyu wa mwisho ana badge ya dvn 3.

Win: 4
Loss: 1(Simu ilizingua)
Draw: 1
 
Leo bhana konami wamejua kuniweza Game nafunga goli la pili... Net inaanza kuload then wananiambia match is deemed un finished

Yan nimebaki div 4 twoo times today😃😃
Ningeshinda hiyo match uwenda ningepanda

Nikacheze PUBG tuu sasa
 
Leo bhana konami wamejua kuniweza Game nafunga goli la pili... Net inaanza kuload then wananiambia match is deemed un finished

Yan nimebaki div 4 twoo times today😃😃
Ningeshinda hiyo match uwenda ningepanda

Nikacheze PUBG tuu sasa
Mkuu mimi waliniletea hivyo halafu wakanipa loss nikashangaa 😂.
 
Back
Top Bottom