Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Mie namsubiria kante tu aisee yule jamaa ni mtu na nusu.Me namtaka nikimpiga na deepline yangu beki zangu zote za build up patanoga sana
Mie namsubiria kante tu aisee yule jamaa ni mtu na nusu.Me namtaka nikimpiga na deepline yangu beki zangu zote za build up patanoga sana
Kante balaa me namngojea huyo na Ton AdamsMie namsubiria kante tu aisee yule jamaa ni mtu na nusu.
Hakuna namna itabid itumike tuuHuko dvn kuna watu wanapeleka moto na vile hakuna kucheza mpira mzuri kuiwasha hiyo ukiwa u aongoza muhimu.
Dvn ndo wapi uko au mimi bado nacheza dream leagueHuko dvn kuna watu wanapeleka moto na vile hakuna kucheza mpira mzuri kuiwasha hiyo ukiwa u aongoza muhimu.
Si ushawai fika division 3 kabisa mkuu😂Dvn ndo wapi uko au mimi bado nacheza dream league
Kumbe ndo iyoo😅Si ushawai fika division 3 kabisa mkuu😂
Bado waki update unarudi stage ya 6 😅😅Leo bhana konami wamejua kuniweza Game nafunga goli la pili... Net inaanza kuload then wananiambia match is deemed un finished
Yan nimebaki div 4 twoo times today😃😃
Ningeshinda hiyo match uwenda ningepanda
Nikacheze PUBG tuu sasa
Ndo hiyo mkuuKumbe ndo iyoo😅
Ukaanze upya🤣Bado waki update unarudi stage ya 6 😅😅
Huyo beckam anabalaa lake nae.Kante balaa me namngojea huyo na Ton Adams
Beckham wamenipa leo
Mkuu mimi waliniletea hivyo halafu wakanipa loss nikashangaa 😂.Leo bhana konami wamejua kuniweza Game nafunga goli la pili... Net inaanza kuload then wananiambia match is deemed un finished
Yan nimebaki div 4 twoo times today😃😃
Ningeshinda hiyo match uwenda ningepanda
Nikacheze PUBG tuu sasa
Na nakufunga daa😂Watu wamevurugwa sana chek formation hiyo 😂😂😂
View attachment 3308795
Sema kikosi chako ni unyama sana.Nimeupokea ushauri wenu wakuu.View attachment 3309882nirekebishe nini kingine, pia tumeni code.