eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

msaada wakuuu daah🥲🚮
1000072682.png
1000072680.png
1000072679.png

NEGAN Selikavu Razorblade
 
Hata anchorman naona watu wengi wanamuwekea deep line kwenye kuzia inakua kama back 5. Wewe test combo yako kama atakubali basi muweke iapo ana defensive awareness ndogo muweke na box to box kwenye double pivot
Duuh sikuwaza kuangalia hizo stats...

Niliona shorts moja YouTube ya mtu anatumia deep line
Kuja jamaa alikuja kucoment akasema deep line kwa anchorman ni kitu yake natural hakuna haja ya kuweka kwake ila kama una DM mwngine zaid ya Anchorman mpe deepline
 
Toka maitainance ifanyike napigwa vibaya mno. Yaani hata sijui shida nini?
Kwa mtazamo wangu though I stand to be corrected

Huna DM Kaka mmoja kwenye hao CMF mweke DM kama sio wote


Alafu namba tisa wote ulionao wazito inabid Neymar au mbappe mmoja hata Alvarez akae sehemu ya Drogba hapo aanze kwa ajili ya kufunguka

Alafu baada dakika ya 60 fanya sub hakikisha beki mmoja wa kati kaenda kupumzika kama sio wote na mbele upate striker mbili mpya

Binafsi ndo mchezo wangu upo hvyo
 
Back
Top Bottom