Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Nikatoa boko bhana jamaa akaweka chuma wavuni mapema sana, kabla hajamaliza kushangilia vizuri nikamnyamazisha na ubao ukawa unasoma 1-1 😂.
Dakika chache kabla ya kipindi cha kwanza hakijaisha nikaweka chuma ya pili na ubao ukawa unasomeka 2-1, nikasema sasa hapa naweka ultra defensive ili nimalize kipindi nikiwa naongoza 😂.
Kurudi kipindi cha pili sasa jamaa akaja na moto mwingi sana ikabidi niweke ultra defensive mapema 😂, haikupita muda mrefu akajichanganya bhana nikaweka chuma ya 3, ubao ukasomeka 3-1.
Huko dvn nikiwa naongoza tu basi ujue kinachofata hapo ni kukuwekea ultra defensive 😂, jamaa aliniwashia moto lakini katikati ya mechi nikapata ujasiri wa kuscreenshot sababu ya ultra defensive.
👇👇👇
Namna vile ambavyo mpinzani alikuwa moto golini kwangu ila shukrani ziende kwa ultra defensive 😂.
👇👇👇
Dakika chache kabla ya kipindi cha kwanza hakijaisha nikaweka chuma ya pili na ubao ukawa unasomeka 2-1, nikasema sasa hapa naweka ultra defensive ili nimalize kipindi nikiwa naongoza 😂.
Kurudi kipindi cha pili sasa jamaa akaja na moto mwingi sana ikabidi niweke ultra defensive mapema 😂, haikupita muda mrefu akajichanganya bhana nikaweka chuma ya 3, ubao ukasomeka 3-1.
Huko dvn nikiwa naongoza tu basi ujue kinachofata hapo ni kukuwekea ultra defensive 😂, jamaa aliniwashia moto lakini katikati ya mechi nikapata ujasiri wa kuscreenshot sababu ya ultra defensive.
👇👇👇
Namna vile ambavyo mpinzani alikuwa moto golini kwangu ila shukrani ziende kwa ultra defensive 😂.
👇👇👇