Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
🤣🤣🤣Mapenzi hisiaGG ni utapeli kama yalivyo mapenzi 😂😂😂
Mpira magoli🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mapenzi hisiaGG ni utapeli kama yalivyo mapenzi 😂😂😂
Plus injuries on🤣🤣Sasahivi natrain mabuti tu 😂
Sikutaka🤣🤣🤣niliona kabisa naanza kukumud ukanitolea batgoal game inayofata nashanga cross zimekuwa nyingi kumbe kuna Striker refu kuliko goli🤣🤣🤣Selikavu ridhika 😅
Ndio huyo huyo mchawi na ku reverse nimeshindwaOne UI 7.0?
Update imekula Ram auNdio huyo huyo mchawi na ku reverse nimeshindwa
😹😹nani tena uyu
UI 7 Update SAMSUNG imefanya simu kuwa nzito game command zinachelewa. Wachezaji zangu wana delay kupiga pass japo shida ipo tangu zamani sasa hivi imezidi. Nafungwa magoli mengi kwa kupokonywa mpira.Update imekula Ram au
itabidi unipe mbinu ya kufungua hiyo 🤣🤣😃😃😃Sawaa kaka uzuri me mwenyewe natumia back 5 now😃😃
Pamela mamtu😹😹nani tena uyu
Pasi nyingi tuu unawavuta😃😃😃then wakosogea tuu throughitabidi unipe mbinu ya kufungua hiyo 🤣🤣
Hapo mpka uformat simuNdio huyo huyo mchawi na ku reverse nimeshindwa
Nipo nayo hii badae... Shukrani mkuu.Pasi nyingi tuu unawavuta😃😃😃then wakosogea tuu through
Apa game halipandi tena hadi uweke low graphicsUI 7 Update SAMSUNG imefanya simu kuwa nzito game command zinachelewa. Wachezaji zangu wana delay kupiga pass japo shida ipo tangu zamani sasa hivi imezidi. Nafungwa magoli mengi kwa kupokonywa mpira.
Haridhike ili aumwe? 😂Selikavu ridhika 😅
Nilienda training kwa Gil, nafanyia kazi tackling 😂😂😂Kaka tunateseka mno😃😃😃
Ni utapeli 😂🤣🤣🤣Mapenzi hisia
Mpira magoli🤣🤣🤣
Mie najiandaa kucheza kanyaga twende na Devil 😂Kesho ana point 6 inshallah simu itengamae mkutane mtoano