eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nimeshtuka nimecheck game plan nashangaa upo ndani ya back 5😅
Nimeweka leo Mrnee ni game plan ilikuwepo tuu...

Jana mapema mrnee nimeingia division nikafungwa kama game tano alafu magoli ya hovyo nikaona ujinga huu embu niweke back 5 kwanza😃😃😃maana nililifika Division 2 juzi nikashushwa mpka 1300 nikaona hapa kazi ipo🤣🤣🤣
 
Nimeweka leo Mrnee ni game plan ilikuwepo tuu...

Jana mapema mrnee nimeingia division nikafungwa kama game tano alafu magoli ya hovyo nikaona ujinga huu embu niweke back 5 kwanza😃😃😃maana nililifika Division 2 juzi nikashushwa mpka 1300 nikaona hapa kazi ipo🤣🤣🤣
Karibu chamani back 5😅. Phase hii yote nimetumia back 5😅
 
Back
Top Bottom