eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Huu uzi ndo unyama sana kuna game plan moja nitaweka Atletico chama langu napenda kila kitu chao kuanzia kukaba mpaka ushambuliaji😃😃

Kama mlikua hamjui team gan nacheza mpira wake ni Atletico
Mpira wa Diego Simeon ni mbaya sana na siyo modern kabisa yaani ni hekaheka tupu wachezaji laini kama Joao Felix wameushindwa 😂😂😂
 
Hivii walioanza game miaka ya nyuma, mbona huwa wanapewa free players after update tena wanaspin za kutosha ila hii mi sijaona chochote zaidi ya Messi..

Mana hata mwaka jana nilliona walipewa wachezaji wa kutosha tu, kwani hii imekaaje wakongwe..

NEGAN Mr Devil Edo kissy
Na Mimi nimeshangaa, nahisi wanaweza kutuletea juma tatu au alihamisi.
Packs nazo mbovuu tuu
 
fox in the box nishawahi kumtumia haalaand mwaka jana ni wakati wa kurudi kutumia fox in the box
Mourinho ana hizi
Screenshot_20250814-202500.png
 
Back
Top Bottom