Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Saiv unachagua ikadumbukie sehemu gan😁😁😁Kwenye kocha sijamuona mimi, graphics kwangu ni standard.
Upigaji wa kona ule ukigusa tu kule pembeni ndo tayari umepiga.
Saiv unachagua ikadumbukie sehemu gan😁😁😁Kwenye kocha sijamuona mimi, graphics kwangu ni standard.
Upigaji wa kona ule ukigusa tu kule pembeni ndo tayari umepiga.
Sijui mtaniambia nini na Rank yangu😁😁😁Mapema sana leo 😀
Hapana me nimeacha tuuKuna aliyechagua country tofauti na Tanzania
Wataleta tuu😁vingi bado hawajaweka
Sema mkuu hujataka kuchelewa mpaka graphics za stadium umedownload.Kwenye kocha sijamuona mimi, graphics kwangu ni standard.
Upigaji wa kona ule ukigusa tu kule pembeni ndo tayari umepiga.
Mimi nimechagua Tz ila account yangu ya pili Japan
Haha Wangeleta leo tuanze kuspin mpaka update zao zikae sawaWataleta tuu😁vingi bado hawajaweka
Nipe stats za huyo beki kwanza nione kwa kocha wa booster 1 anafika OVR ngapi.Sawaa
Sijadownload chochote zaidi ya kuupdate game kaka.. kuna setting mpya ya kuchagua rangi ya uwanja.Sema mkuu hujataka kuchelewa mpaka graphics za stadium umedownload.
Hii nzuri.Sijadownload chochote zaidi ya kuupdate game kaka.. kuna setting mpya ya kuchagua rangi ya uwanja.
eFootball Stadium kuna sehemu unachagua rangi unayotaka unakuwa unautumia, ko kwenye mechi hata kama hauja download viwanja tayari utakuwa na vyako vitatu.
Yule nadhani ana 103, kuna msela mmoja nimemuona kwenye kikosi chake anae.. ila ni Attacking FB.Nipe stats za huyo beki kwanza nione kwa kocha wa boostwr 1 anafika OVR ngapi.
Hii nzuri.
Beki nyingi za pembeni kwenye eFootball ni Attacking FB, Defensive ni wachache sana nahisi hii ni kutokana na modern football.Yule nadhani ana 103, kuna msela mmoja nimemuona kwenye kikosi chake anae.. ila ni Attacking FB.
KoundeBeki nyingi za pembeni kwenye eFootball ni Attacking FB, Defensive ni wachache sana nahisi hii ni kutokana na modern football.
Mpaka hivi sasa nina Defensive FB mmoja tu tena OVR yake ni chini ya 100.
Aisee sasa username yangu niliyoitoa itarudi kuwa jina la viwanja vyangu 😍View attachment 3441306View attachment 3441308
Kila uwanja unaupa jina lake unavyotaka wewe.. kama mi hapo niliturudia majina, uwanja wa 3 sikuscreenshot.
Na upande wa jezi kwenye zile zote ulizonazo saivi unaweza ukachagua yoyote ile iwe ndo main ya kwanza pale unavyoingia mechi, ya home au away.
Haha uhakika ni wewe tuAisee sasa username yangu niliyoitoa itarudi kuwa jina la viwanja vyangu 😍
Huyo huyo, niliachana na kutumia back 4 sababu ya kukosa DFB wa kueleweka ila hakuna namna ni kuhakikisha nafanyia kazi kwenye kuzuia.Kounde