Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Aah sawaa mkuuHuu mfumo pressing yake unaanzia juu sasa ikitokea umepoteza mpira halafu kipa wako ni offensive minded basi kwa anaetumia counter anakumaliza mapema tu.
Aah sawaa mkuuHuu mfumo pressing yake unaanzia juu sasa ikitokea umepoteza mpira halafu kipa wako ni offensive minded basi kwa anaetumia counter anakumaliza mapema tu.
Imekuwaje tena 😀😀Nimesha pigwa huko Form ikiwa A unaletewa wakulungwa tu
Sasa kipindi cha pili nikataka nifanye tu mazoezi ya kupossess dah ikawa fursa kwako 😂.Dah sijatulia hata ngoma imelud tena kati sijakaa sawa chuma cha pili...
Wakati bado najiuliza nimefungwaje hizi mbili kinaingia cha tatu na cha nne nikasema nimewezwa leo😀😀
Acha tu,Imekuwaje tena 😀😀
😂😂😂 Kwel uliniokotaSasa kipindi cha pili nikataka nifanye tu mazoezi ya kupossess dah ikawa fursa kwako 😂.
Hamna mkuu huwa nikiwa bado kwenye mazoezi ya tactic sijali kuhusu kufungwa, huwa naangalia sana madhaifu yatakuwa wapi ili nirekebishe, nilikuwa nataka nipossess ili kuzoea hiyo tactic pia maana Quick Counter kwa kiasi tayari nimeanza kuizoea.😂😂😂 Kwel uliniokota
Kuna jamaa nilikutana nae master wa possession game ngoja nikamwangalie Group kama atakuwepoHamna mkuu huwa nikiwa bado kwenye mazoezi ya tactic sijali kuhusu kufungwa, huwa naangalia sana madhaifu yatakuwa wapi ili nirekebishe, nilikuwa nataka nipossess ili kuzoea hiyo tactic pia maana Quick Counter kwa kiasi tayari nimeanza kuizoea.
Code mkuu.Selikavu nataka usiku tuguse, natumai umeongeza ujuzi wa kutosha na siyo zile ndege za mwanzo 😂.
View attachment 3303541
Mwamba ametambulishwa rasmi kuwa head coach wa timu yangu(Santos FC).
View attachment 3303542
Xabi Alonso amesema anataka kucheza mechi za kirafiki zisizopungua 5 na 3 kati ya hizo anataka kucheza na Selikavu (Alonso Day), mechi ya pili anataka kucheza na Edo kissy na mechi ya tatu anataka kucheza na NEGAN 😂.
Alonso Day ni kwaajili ya Selikavu 😂.
Siku mbili hizi nmejifua kidog jinsi ya kuzitumia nafasi vyema., ebu nikusanye coin nikanase kocha mwenye double bosterKwa upande wangu nina tatizo la kutoa boko na nimeruhusu kufungwa sana kwa namna hii na tatizo lingine ni kwenye kutumia nafasi hasa nikikutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kuzuia.
Unatumia 4222? Mnona 4312 ni nzuri kwa one touch passHiyo formation nimebadili na kuweka 4222 baada ya vipigo kama 6 non stop.
Mimi bado kioo kinazingua nikibadili tutapashaCode wazee
Kuhusu kufungwa dakika za mwisho fanya sub ya beki moja na kiungo around dakika ya 65 weka fresh legs itakupunguzia maboko.Kwa upande wangu nina tatizo la kutoa boko na nimeruhusu kufungwa sana kwa namna hii na tatizo lingine ni kwenye kutumia nafasi hasa nikikutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kuzuia.
Mkuu upo??N
Gusa code mkuu
Mkuu kama upo free twende kabla kioo hakijafika kizuri😂😂Kuhusu kufungwa dakika za mwisho fanya sub ya beki moja na kiungo around dakika ya 65 weka fresh legs itakupunguzia maboko.
Aaah wapi unitwange tena 🏃♂️ 😃Mkuu kama upo free twende kabla kioo hakijafika kizuri😂😂