Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Kuna settings nimeweka kiasi fulani nawakanda.Vip ilikuwaje??
Kuna settings nimeweka kiasi fulani nawakanda.Vip ilikuwaje??
Umegongewa pila birihani nini 😂.Oya Selikavu una balaa😃
Si ya kusema 😃Umegongewa pila birihani nini 😂.
Selikavu anakuja moto mkuu 😂.Si ya kusema 😃
Me nishashuka division 3 tena😂😂nimepigwa zangu nikasema oky ngoja ningojee kupanda tena keshoKonami walichonifanyia sina hamu, nilikuwa nimefikisha points 1435 nikawa napiga hesabu bado mechi 3, daah mechi iliyofata nimefungwa wakakata point 29 iliyofata nikapata sare wakakata point 5.
Hiyo script yao inatia hasira ila haijaisha mpaka iishe 😂.
Settings gani hiyo kaka😀😀🙂↔️tunatumia mfumo mmoja sieKuna settings nimeweka kiasi fulani nawakanda.
Script ni namna Konami wanafanya game liwe entertaining vitu kama kugongwa mwamba, maboko ya beki kujifunga au umebakiza point 10 uende division 2 unapangiwa opponent wa moto ili mradi udondoge point uendelee kucheza game.NEGAN embu nieleweshe kuhusu script kwanza maana nimevurugwa hapa 😂.
Nina wachezaji wengi ukicheza miezi 6 utawapata na weweMtandao umenibeba magoli yote mtandao wako ulikwama ikafika hatua nikiona umesimama nangojea ulud kwanza ndo na press😀😀😀semaa kikosi chako kinabadilika kila siku😂😂
Usimsikilize Negan achana nae mtandao wake ulikuwa unazingua...Umegongewa pila birihani nini 😂.
Hivi nina miezi miwili sasa😀😀juzi hapa nilikuja sielewi kitu😀😀Nina wachezaji wengi ukicheza miezi 6 utawapata na wewe
Me nimeshushwa kaka division three leo asubuhi...Phase inaisha kesho Selikavu phase ijayo unaanzia division 4 ila Razorblade wanakuporomosha divison 5😃
Upo vizuri ukifika miezi 6 utakuwa hushikiki komaa na formation yako hiyo hiyoHivi nina miezi miwili sasa😀😀juzi hapa nilikuja sielewi kitu😀😀
Hata ukishuka wanaangalia umeshafika tayari utapata badge ya division tuMe nimeshushwa kaka division three leo asubuhi...
Acha nianze tena this time nakomaa nao
Sawaa kaka acha niendelee kukomaa...Upo vizuri ukifika miezi 6 utakuwa hushikiki komaa na formation yako hiyo hiyo
Aah sawaaHata ukishuka wanaangalia umeshafika tayari utapata badge ya division tu
Nilikandwa sana jana ikabidi kwenye matchmaking niweke nearby area 😂, halafu nikiwa uwanjani nikitangulia kushinda tu naweka ultra defensive 😂.Settings gani hiyo kaka😀😀🙂↔️tunatumia mfumo mmoja sie
Basi ndo walichonifanyia mkuu na mara 2 nimeletewa watu collective strength za vikosi vyao haifiki 3000 ila wanagonga mali hakuna 😂.Script ni namna Konami wanafanya game liwe entertaining vitu kama kugongwa mwamba, maboko ya beki kujifunga au umebakiza point 10 uende division 2 unapangiwa opponent wa moto ili mradi udondoge point uendelee kucheza game.
Halafu messi mtoe chezesha real striker au kana unataka kucheza na messi muweke kulia Tores kushoto wewe umemuweka kushoto.