eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Wakuu njoeni tutete kwanza huko dvn kumekuwa kugumu kwa upande wangu, niseme tu wengi hawajui kucheza na hawataki kujifunza kucheza 😂, sina maana mbaya ila napata tabu kuwafunga wanaocheza kwa kubutua yaani wakati mimi nataka kuburudika kwa kucheza mpira mzuri na kupata ushindi wao wanaburudika kwa kupata ushindi tu mpira mzuri hawataki 😂.

Mechi 12 nimeshinda 2, sare 2, kufungwa 8, hizo sare 2 nilikutana na pira biriani wenzangu na hizo 2 za ushindi 1 nimekutana na pira biriani mwenzangu ila bahati haikuwa upande wake ila hiyo 1 sasa nikakutana na kanyaga twende namie nikasema kanyaga twende pia nauweza na bahati ikawa upande wangu ila kwa mbinde 😂, hizo nilizofungwa zote nimekutana na wasiojua kucheza.

Vuta picha unakutana na mtu anatumia possession game lakini ukienda uwanjani mwanzo mwisho ni ndege tu.

View attachment 3301146
Hii ndo hali yangu huko, nyie ambao mko dvn 1 na 2 nipeni mbinu ya kuwafunga hao jamaa.
Upande wangu mimi 😂😂😂bado nakaza vidole... Ila hizo draw nusu ilibid niwe nimeshinda
Screenshot_20250414-001845.png
 
Sema usiwe una press sana tumia zaidi match up opponents watakua wanapata 1vs1 nyingi na kipa. Kama unataka kupress vizuri tumia quick counter . Ukipress na long ball counter unaacha space kati kati
 
Sema usiwe una press sana tumia zaidi match up opponents watakua wanapata 1vs1 nyingi na kipa. Kama unataka kupress vizuri tumia quick counter . Ukipress na long ball counter unaacha space kati kati
Shukrani kwa ujuzi, kesho turudie.
 
Selikavu nataka usiku tuguse, natumai umeongeza ujuzi wa kutosha na siyo zile ndege za mwanzo 😂.

IMG-20250414-WA0004.jpg

Mwamba ametambulishwa rasmi kuwa head coach wa timu yangu(Santos FC).

IMG-20250414-WA0007.jpg

Xabi Alonso amesema anataka kucheza mechi za kirafiki zisizopungua 5 na 3 kati ya hizo anataka kucheza na Selikavu (Alonso Day), mechi ya pili anataka kucheza na Edo kissy na mechi ya tatu anataka kucheza na NEGAN 😂.

Alonso Day ni kwaajili ya Selikavu 😂.
 
Selikavu nataka usiku tuguse, natumai umeongeza ujuzi wa kutosha na siyo zile ndege za mwanzo 😂.

View attachment 3303541
Mwamba ametambulishwa rasmi kuwa head coach wa timu yangu(Santos FC).

View attachment 3303542
Xabi Alonso amesema anataka kucheza mechi za kirafiki zisizopungua 5 na 3 kati ya hizo anataka kucheza na Selikavu (Alonso Day), mechi ya pili anataka kucheza na Edo kissy na mechi ya tatu anataka kucheza na NEGAN 😂.

Alonso Day ni kwaajili ya Selikavu 😂.
Funny thing ni kwamba tupo equal in strength 😂😂

Weka muda mkuu me nitakuwepo kwanza usiku mbali hata saiv tuu😂😂
Screenshot_20250414-100133.png
 
Back
Top Bottom