carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 654
- 1,543
MBona umenifunga mechi ya pili😀Pamoja mkuu, tumepiga mechi nzuri ila wachezaji wangu naona walikuwa slow.
MBona umenifunga mechi ya pili😀Pamoja mkuu, tumepiga mechi nzuri ila wachezaji wangu naona walikuwa slow.
Ilikuwa inakuja notification tu.Nimekuinvinte mara tatu hujaziona kaka
Najua mechi ya kwanza imeisha tayariSelikavu Razorblade mnipe matokeo 🤣🤣
Selikavu Razorblade mnipe matokeo 🤣🤣
Tumecheza moja tuu...Najua mechi ya kwanza imeisha tayari
Nimechoka hapa nilikua kwenye harakati za kwenda dvsn 1😀Tumecheza moja tuu...
Naona simu yake imezima tayali
Zile through zako umezitoa wap😀😀Selikavu kipindi cha pili wakati nataka kupossess wewe ulikuwa unafanya comeback 😂.
View attachment 3304538
Umenikazia kipindi cha pili, yani ulivyorudisha hizo goli 2 mpaka nikawa najicheka 😂.View attachment 3304537
Nimepigwa tena😀na nisingekaa sawaa nilikuwa nalud na week nzima leo
Razorblade kaka ulienda Course ya pasi😀nashangaa tu 1v1 za kutosha
Hapo imenivumilia mkuu mpaka nimemaliza mechi.Tumecheza moja tuu...
Naona simu yake imezima tayali
Kaza vidole 😂.Nimechoka hapa nilikua kwenye harakati za kwenda dvsn 1😀
Lazima ujicheke first half nne moja😀ukaamua upooze mashambulizi ukaweka na defence kabisa😀😀Umenikazia kipindi cha pili, yani ulivyorudisha hizo goli 2 mpaka nikawa najicheka 😂.
Pambana kakaNimechoka hapa nilikua kwenye harakati za kwenda dvsn 1😀
Nimekukosa mara 2 na hizo through, mpe kongole kipa wako kuziwahi 😂.Zile through zako umezitoa wap😀😀
Yan shwaa mpira umepita
Maana alhamisi wanatoa badge mzeyPambana kaka
Courtiois ni Defensive goalkeeper kipa wangu huwa ni NeuerNimekukosa mara 2 na hizo through, mpe kongole kipa wako kuziwahi 😂.
Nilipoa nikasema ngoja nitafute goli 1 tu niifunge mechi daah sijakaa sawa chuma sijakaa sawa tena chuma ingine nikaanza kujicheka 😂.Lazima ujicheke first half nne moja😀ukaamua upooze mashambulizi ukaweka na defence kabisa😀😀
Sema me mwenyewe nilikata tamaa nikawa nacheza tuu game iishe nilivyopata la pili kdg hali ikaludi
Badge ndo manini tenaMaana alhamisi wanatoa badge mzey
Sema mkuu upo vizuri hatupo level moja hilo nikubali tuu...Nilipoa nikasema ngoja nitafute goli 1 tu niifunge mechi daah sijakaa sawa chuma sijakaa sawa tena chuma ingine nikaanza kujicheka 😂.