Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Si unaona game zao zilivyokuwa😃😃😃Hii mechi ya kwanza bana 😂😂🔥 dakika ya 11 nishakula chuma 3 sijui nilikuwa nazubaa wapi 😂💔
View attachment 3336576View attachment 3336577View attachment 3336578
Hii mechi ya mwisho nikagongwa chuma 2 bila ile kuchomoa zote jamaa akawasha full def bars 😂🔥 nikasema duh hapa ni kutumia nafasi tu mana nikipoteza ataniadhibu ipasavo
Ndo kama hivo nimeshinda 1 tu 😂💔