eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Guilberto na Mill broh
Utanzania wetu upo wap??

Undugu wetu upo wap??


Umoja wetu upo wap??


Ushirikiano wetu upo wap???


Uafrika wetu upo wap???


Matokeo yapo wap???🤣🤣🤣
 
Hii mechi ya kwanza bana 😂😂🔥 dakika ya 11 nishakula chuma 3 sijui nilikuwa nazubaa wapi 😂💔
1000034811.jpg
1000034833.jpg
1000034863.jpg

Hii mechi ya mwisho nikagongwa chuma 2 bila ile kuchomoa zote jamaa akawasha full def bars 😂🔥 nikasema duh hapa ni kutumia nafasi tu mana nikipoteza ataniadhibu ipasavo

Ndo kama hivo nimeshinda 1 tu 😂💔
 
Back
Top Bottom