Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,393
Ukiita hivyo ataogopa tuipambe kidogo drone football 😂Aliniwekea full blue siku nikimpiga ataelewa maana ya haram football 😃
Ukiita hivyo ataogopa tuipambe kidogo drone football 😂Aliniwekea full blue siku nikimpiga ataelewa maana ya haram football 😃
Ngoja. Nika muite😁😂Si umuite comrade wako 😂
Mi aliona kabisa ile mechi nimempania nashangaa 2-2 zile blue bars zooote zikashuka hahaHii tumeikataa wanaoneana huruma alafu wote wana mpira unafanana kias japo Guilberto ni Possession game
Kutana na Mill broh mzee game imeanza tuu unawashiwa Full blue bars kwanza na possession game yako lazima ukimbie😃😃😃
Wahi usituchanganyie madawa humu 😂Ngoja. Nika muite😁😂
Kwa mill bro utashinda nyingi tuu😃😃 imagine upo nyuma goli tano na kuna full bars🤣🤣🙌Duuh Hii ishu ya kukaa na mali na sishindi hata itabidi nianze kuiacha 😂 au nashinda sizidi 2
Derby haina huruma hiyo ndo nzuri 😂Mi aliona kabisa ile mechi nimempania nashangaa 2-2 zile blue bars zooote zikashuka haha
sema jamaa anacheza mpira wa kutafuta matokeo. Hana huruma.. 😂🔥
Kesho tupashe mkuu, Muasisi wa uzi huu@yoyote nipeni ntakubari😎
Sema Denzila mtu poa bhana hana noma😃😃Huyo kazidi mkuu, walienda intergroup akapigika mwanzo wakawa wanamcheka 😂
Uzi unatembea sana sasahivi kwenye trending za siku unaukuta, kongole kwake.Kesho tupashe mkuu, Muasisi wa uzi huu
Basi iwe kama derby za azam na wakazi wa kariakoo 😂😃😃😃Lako na yeye ndo lina story nzuri🤣🤣umeshapigika hapa unatafuta kulipa kisasi safi kabisa
Sisi tunasubiri utuandalie ligi tu humu 😂Japo sikiwashi😂💔🚮
Uje tupige ya kulalia mkuu😂 Ubaya Ubwela