Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,393
Admin wa hilo group sasahivi analalamika anapigika hovyo na anasema hajawahi kukutana na hiyo hali hadi anataka kuacha kucheza game 😂Hizo fedheha sio poa 😂 unaanza na kufundishwa game hapo hapo 'kaza kaza game unajua mwanetu', 'jifunze kukaba', 'usipigepige mashuti tu', ' tunza coins uchukue kocha wa Quick' ...😂😂