eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mkuu nini tena kimetokea😀
Kaka hii voda siielewi leo eti hapo data zipo on afu sioni 4G, em twende tena nilizima simu na kuwasha
1000034550.jpg
 
Niliiona nikakuonea huruma nikatoa mawinga 😂 ningekushambulia sana leo sema tu nikaamua kubalance nisishambulie kwa pembeni nipitie hapo hapo kati kwa hizo beki zako
Ule mfumo wa beki 3 mara nyingi nikifungwa haizidi 1 bila 😂 mana duh huwa napata uhuru sana wa kushambulia.
 
Kwa jinsi,, Kwa jinsi kwa nini,, Kwa jinsi,, ninii,, Kwa jinsi,, jinsi gani enhee,,, Kwa jinsi Mungu,,, Mungu nanii,, Mungu,,, nanii,, Mungu,,, Ni mama yako,,, Hapana,,, Ni baba yako,,, Hapana,,, Ni ndugu yako,,, Hapana,,, Ni beste yako,,, Hapana,,, Ni jirani yako,,, Hapana Pastor,,, Ni naniiiii,,, Kwa jinsi Mungu alivyoupenda,,, Ngoja alifanya ninii,,,, Alivyoupenda,,, Aliukataa,,, Hapana,,, Aliutusi,,, Hapana,,, Aliuachilia,,,, Hapana ,,, Aliupaka matee,,, Hapana,,, Aliufanya niniii,, Aliupenda,,, Aliupenda ninii,,, Kwa jinsi Mungu alivyoupenda ulimwengu,,,Aliupenda ninii,,, Ulimwengu,,, Umbwa yako,,, Hapana,,, Ni ng'ombe yako,,, Hapana Mchungaji,,, Ni bibi yako,,, Hapana Pastor,,, Ni mama yako,,, Hapana Padri,, Ni nyanya yako,,, Hapana ,,,, Ni naniiiiii?
 
Back
Top Bottom