Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

CLAPS Let source siyo kuharisha ovyo hapa.
Teamlowasa mtapata ugonjwa wa Moyo.
Kkkkkkkkk. Leo unakana mpk maneno ya Gwajima?

Umesahau nini alikisema alipokuwa kwenye kile kiti cha walemavu baada ya Kujizimisha pale Polisi sio?

Mtakiona mwaka huu! Utapeli mwisho wake mbaya.
 
Nyie mliokuwa team lowasa mmejichimbia wapi au mmeingia msituni
 
Tupa huko lowasa....! lowasa....! Lowasa...! Whose lowasa....? By thr way bado kutupa ssm...
 
Piga Membe chini, kata Member asiingie 3_bora. Amina Salum Alli ndiye bora kuliko wote,makamu wake F. Sumawe, na Pombe J. M awe P.M. Hapo ni kazi tu,hakuna bla bla
 
sisi kina gogo la shamba tulishasema kosa kubwa la Lowasa ni pale alipojifanya bubu kwa kuwalinda wezi, sasa karata yake ya mwisho itakayomuweka salama bila kufuatwafuatwa ni kuweka adharani Richmund na kumrudisha Balali kama atapuuza tena ushauri wetu itakula kwake mazima
 
Yaaani..lowassa n chaguo la wananchi bora aende ukawaaaa au act jamanii
Kumbe watu wengine huwa wanaamini mazingaombwe!! nani alikwambia ni chaguo la watu? mafuriko uliyokuwa unayaona ilikuwa ni projekti ya muvi iliyoanza kutengenezwa miaka kadhaa huko nyuma. Hatuwezi kuishi kwa kuamini mambo tunayoona katika bongo movie. Nitakubaliana na wewe ukisema lowassa ni mtengeneza muvi za kisiasa bora. Ukawa hawahitaji mtu wa aina hiyo. Pengine ana-fit act.
 
Atakua amelala muda huu.
Watu wana majungu

Eti lowasa
Katumia pesa kibao kuutafuta Urais halafu pen ya mia mbili tu imemkata

Hahaha unajua utani mwingine sio mzuri.

Peni ipi sasa Obama au Speedo.

Teh teh teh
 
politics is either you win or loose, kwahiyo hakuna cha ajabu kuanguka kwenye siasa

Mfano mzuri ni wa Raila Jaramongi Oginga Odinga ameanguka mara ngapi na amesimama mara ngapi.

Tanzania bado tunajifunza siasa na ndio maana tuna mijadala ya kitoto.

MKuu tatizo sio hilo shida ni gharama aliyotumia kwenye mchakato....hadi huruma
 
Amenipigia simu ananiomba namba ya mbowe..eti "pipooooooz.." nikasema..pawaaaa! akasema "naomba namba ya kamanda Mbowe?"
Nikamwambia labda nikupe ya Zitto.. akakata simu..
ndoroooobo namba ya mbowe ya nini..
 
Back
Top Bottom