emanuel laizer
Member
- Jun 19, 2015
- 45
- 5
Kwani wamepita
Atakua amelala muda huu.
Watu wana majungu
Eti lowasa
Katumia pesa kibao kuutafuta Urais halafu pen ya mia mbili tu imemkata
Hii itakuwa ajali ya pili ya kisiasa......Huenda anakunywa chai na wale siokuwa na mfungo!
Siasa si fitna banaaa.., na kwa mwanasiasa mkomavu kama Lowassa jina lake kukatwa ni ajali tu ya kisiasa!
Majaaliwa 2025 kama atapenda kutangaza nia kwa mara nyingine tena.
Hahahahahaahha mlijitahidi kuja kwa mbwembwe sasa mmeona Tsunami ilosambaratisha mbwembwe zenu eeenh? Next time nawashauri mpunguze mbwembwe na msidhani fedha ndo kila sehemu inapenya, sehemu nyingine zinafeli kama zilivyofeli kwenu, oneni sasa mzee wenu alivyomwaga fweza lukuki kila kona kuhonga ilimradi apite, kaambulia kufuatwa na watu tu kila kona ya nchi lkn kapewa Total Ban, naamini huko alipo haamini kilomtokea lkn ndo basi tena, sisi hatununuliwi kwa hela zake yeye sasa akanywe supu na hizo hela zake pamoja na wale wanaomfata kama inzi. Hahahaha pole mzee Lowahaswa! Kubali matokeo Welcome again!
Atakua amelala muda huu.
Watu wana majungu
Eti lowasa
Katumia pesa kibao kuutafuta Urais halafu pen ya mia mbili tu imemkata
2025 ni mbali sana majaliwa kufika uko
Mungu si Athumani....!!
Mugabe yupo mbona tena bado fit kabisa?!
Ndio mdudu gani huyo?
... Ukawa njia nyeupeee
Sasa kimekucha x2 jogoo limepandwa huko
Dodoma!
Dada wa CCM x2 Apewe Kura na Deo...
Hii kali pia usisahau kati ya waliokuwa maswahiba wake wakuu kuna waliotangulia mbele ya haki mfano KaPUteni....Kweli siasa ni zaidi ya ujuavyo!Wamesambaratika mgao wa pesa umesitishwa lowasa anarudi monduli kuchunga mbuzi zake.
huu ndio ukweli.
akina Kingunge sijui wanatamani kufa kwa aibu na uoga wa maisha, Hamis Mgeja na wenzake, akina Nchimbi , Lugola, Simba na wengine weng waliojiandaa kuimaliza nchi.
akina Bashe, Rostam, Karamag, Chenge etc
sema naona baadhi ya Mafisad wanavyoenda kujiunga na akina Mramba muda si mrefu
Pole sana Lowasa na team yako.Pamoja na kutokuunga mkono,ila huruma imeniingia sana baada ya kusikia habari za kukatwa.Ningependa kujua kwa sasa mzee upo wapi na u hali gani?
Wamesambaratika mgao wa pesa umesitishwa lowasa anarudi monduli kuchunga mbuzi zake.
Gwajima alisema Lowasa ni chaguo la Bwana.
Kumbe Nabii pia alileta Usanii tu eti?
Kaazi kweli kweli