Mzee Kingunge na waganga wake wako wapi?
Atakua amelala muda huu.
Watu wana majungu
Eti lowasa
Katumia pesa kibao kuutafuta Urais halafu pen ya mia mbili tu imemkata
dah! kapitia vipindi vigumu sana dunia haina wema tenda wema nenda zako usisubiri shukurani hilo ndo lililomkuta EL.
Watakatwa tu we subiri oktoba , katka wote hao Wa ccm sion kama kuna anayeweza moto Wa slaa au mbowekwani ccm kuna msafi? wakatwe wote tu hamna namna
Hahahaaa mimi najiuliza waliolipiwa hotel Dodoma
na kuahidiwa nauli
unaweza kukuta now wanatafutana kuulizana nauli
Watakatwa tu we subiri oktoba , katka wote hao Wa ccm sion kama kuna anayeweza moto Wa slaa au mbowe