Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Kuna uwezekano mkubwa wa watu kuzurumika.Ambao mlikuwa hamjalipwa imekula kwenu.
Hahahahaahahaha kwiwkiwikwi hahahaha aseee ni hatareeeee wapo waloikuwa hawajalipwa hapo bila shaka, sasa kiyama yao ndo hiyo imefika, kibarua tena kwishney boss wao hana kazi tena
 
Team Lowasa..safari ya matumain inaendelea,maamzi magumu yapo palepale.
 
naskia safari ya matumaini imeishia dodoma, haikufika ikulu ya magogoni.....????

please confirm!
 
Team Lowasa..safari ya matumain inaendelea,maamzi magumu yapo palepale.
Wewe utakuwa miongoni mwa wale ambao hamjalipwa na Team sasa naona umeamua tu liwalo na liwe unajitolea tuu lkn unajitolea kwa nani maana kama boss wako safari imeishia njiani.
 
Ha ha ha haaaaaaa....
Team Lowa lowaaaa, hawaamini kilichotokea...wengi wao wanadhani wako ndotoni! teh teh teh...
 
hivi team lowasa ikihamia ukawa si tutabeba nchi hii asubuhi na mapema,tuone wataelekea wapi
 
Back
Top Bottom