Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
Wamesambaratika mgao wa pesa umesitishwa lowasa anarudi monduli kuchunga mbuzi zake.
Hahahahaha umempa vipande vyake, hujamkopesha, umempa hamsini zake hahahahaha haya maneno aliwahi kuyasema Mchungaji Gwajima alipomtukana Kadinali Pengo, tatizo alijigamba sana huyu mzee akatuina watnzania ni wenye njaa sana kana kwamba fedha zake ndo kila kitu hata kununua urais sasa kaipata fresh yakeMaamuzi yameshatolewa ndo hayo kubaliana nayo tu hata kama hukujiandaa kisaikolojia. Japo ulijiapiza kuwa huwezi kukatwa kwa vile eti upo CCM tangu kuanzishwa kwake lakini ndo hivyo tena yamekuwa hata wenzako pia walikuwemo vile vile.
Ulizua misemo mingi kipindi hiki kama vile HAKATWI MTU, PATACHIMBIKA, HUWEZI KUZUIA MAFURIKO, yote hiyo ilikuwa ni mikwara yako ambayo labda kwa namna moja ama nyingine imekuponza kwa vile ulikuwa kama unaitishia CCM na ngazi zote za juu za maamuzi na uteuzi.
Najua imekuuma sana kutokana na jinsi ulivyokuwa umeikamia nafasi hiyo ya juu kabisa kitaifa lakini kumbuka asiyekubali kushindwa si mshindani. Siasa ndo zilivyo hata wewe unazijua.
Kwa heri mzee wa safari ya matumaini amini tu kuwa umeshakatwa na hakuna rufaa.
Pole sana pia wapambe na wafuasi wake wote.
Bado unayo nafasi ya kuondoa umasikini katika nchi kwa vile ulisema unakerwa nao.
Ni mimi mpiga kura wa kawaida nisiyefungamana na chama chochote. Nasubiri October nimkate mmojawapo kati ya CCM au UKAWA.
Asingepita miaka buku, papa fisadi yuleHivi KWA Akili YA Kawaida LOWASSA Kweli. ...!!! Common sense lowasa apite.
Kalale wewe dogo unaongea pumba tu hapoKumuondoa Lowasa na Kumwacha Membe imetoa Tafrisi mbaya kwa Mkulu WA Kaya
Wamesambaratika mgao wa pesa umesitishwa lowasa anarudi monduli kuchunga mbuzi zake.
... Ukawa njia nyeupeee
A.k.a wachumia matumbo, imekula kwao ajira imezimika gaflamwisho wa ajira. Wengi walikuwa opportunist. Watafute mrija mwingine.
Naomba uthibitisho Lowasa kakatwa wakuu, ndo nimeamka sasa.
Hakuna cha Ukawa wala Ukewe! Kwendeni huko hapa ni ccm pekeeee wengine watabaki kuwa wasindikizaji kama ilivyo ada... Ukawa njia nyeupeee