Kipanya square
Member
- Jun 7, 2015
- 77
- 16
inakaa badoo upo usingizini mkuu.Mzee Mengi na ITV yake leo asubuhi naona kaweka Clip ya Baba wa Taifa akitahadharisha kuwa CCM isipomchagua mtu anaekubalika na wananchi italia machozi. Nataka kujua huyu mzee Mengi nae alikuwa team mamvi!
Wenzio chama mojaa, chama cha kutaka umiliki na udalali wa gesi