Sasa kimekucha x2 jogoo limepandwa huko
Dodoma!
Dada wa CCM x2 Apewe Kulwa na Deo...
au vp bwana.Mimi naamini sote tunajenga nyumba moja, tulikuwa tumeshazoeana kwenye magroup yetu kule Facebook na WhatsApp, naamini mijadala bado tunayo mingi, kinachonisikitisha ni spidi ya hatari ya kujitoa kwa wapambe wenzangu kwenye magroup, au ni hilo moja tu ndo lilikuwa limewapeleka huko?
Poleni, ila hiyo ndo inaitwa Siasa, tujadili na mengine tafadhali, msikimbie, kujeruhiwa huwa inatokea
Acha UMBEYA wewe alisemea wapi????
Acha UMBEYA wewe alisemea wapi????
dah! kapitia vipindi vigumu sana dunia haina wema tenda wema nenda zako usisubiri shukurani hilo ndo lililomkuta EL.
Atakua amelala muda huu.
Watu wana majungu
Eti lowasa
Katumia pesa kibao kuutafuta Urais halafu pen ya mia mbili tu imemkata