Huyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!
Wakenya?kama Kenya wanampenda agombee hukohuko na linchi lao la kifisadifisadi, naona Uhuru anatuchokonoa kilichompata joice banda naona anakitafuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] moyo wenyewe spana mkononi mda wowote kibetri kinazimaIla jamani Mungu fundi.... anajua wapi aweke tofali wapi aweke bawaba..... Sizonje angeijua lugha ya malkia vizuri haki tusingelala hapa mjini.... baba mpenda sifa kuliko malaika wa sifa ibilisi
......
Na Ule moyo ungekua unatulia angekata mawimbi kuliko Vasco da Gama.... ama kweli Mungu fundi.
Post sent using JamiiForums mobile app
waache waendelee kumvisha kilemba cha ukoka Ikulu ataisikia redioni na kuiona kwenye TV,period.Huyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!
Hapa tuelewe kwamba chadema tayari wana mgombea urais wa 2020 aliejitangaza huko Kenya.
Lile baraza kuu litakuwa na kazi gani wakati wa kutafuta mgombea wa chama?
Je mwanachama mwingine atakae onesha nia ya kuomba uteuzi wa chama kugombea nafasi hyo ataeleweka kweli?
Huu ni mgogoro mkubwa unaandaliwa na ku clear njia ya Magu 2020.
Mwizi wa kura za wapinzani ktk chaguzi huwa ni mipango mibovu na wala sio ccm.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwa Ccm ni hivi mgombea aliepo madarakani anapewa nafasi ya kugombea mara ya pili na chama kuridhia endapo kitaona infaa.Mbona na kijani tayari wanamgombea wao hadi 2025,lipi la ajabu kwa CDM kuwa tayari na mgombea 2020?
Je unataka tuamini kwamba Lowassa anajua vizuri lugha ya Malkia? Usitudanganye hapa !! Tanzania tumewahi kuwa na viongozi wa juu wawili tu waliowahi kuwa na command nzuri ya Kiingereza nao ni JK Nyerere na Ben Mkapa kwishaIla jamani Mungu fundi.... anajua wapi aweke tofali wapi aweke bawaba..... Sizonje angeijua lugha ya malkia vizuri haki tusingelala hapa mjini.... baba mpenda sifa kuliko malaika wa sifa ibilisi
......
Na Ule moyo ungekua unatulia angekata mawimbi kuliko Vasco da Gama.... ama kweli Mungu fundi.
Post sent using JamiiForums mobile app
Umeamua kumtukana boss wako?Acha kabisa kumfananisha Lowassa na yule 'uchwara' ambaye anapata hasira na Presha ukimuuliza swali kwa lugha ya malkia.
'Uchwara' kila kukicha anakariri tu salamu za kimakabila na matusi ya kisukuma tu ili kwenda kuropoka kwa watz wajinga.
Tangu lini chadema wanalo hilo baraza kuu. Kama wangekua nalo labda sasa tungekua na rais wa chadema. Chadema ni chama kinachoongozwa ki mafia kama ccm. Tofauti ccm wanafanya danganya toto ya demokrasia kwa kutumia watu wachache poweful ku influence wengine wapitishe wanaowataka na watakaolinda maslahi ya chama.Hapa tuelewe kwamba chadema tayari wana mgombea urais wa 2020 aliejitangaza huko Kenya.
Lile baraza kuu litakuwa na kazi gani wakati wa kutafuta mgombea wa chama?
Je mwanachama mwingine atakae onesha nia ya kuomba uteuzi wa chama kugombea nafasi hyo ataeleweka kweli?
Huu ni mgogoro mkubwa unaandaliwa na ku clear njia ya Magu 2020.
Mwizi wa kura za wapinzani ktk chaguzi huwa ni mipango mibovu na wala sio ccm.
Post sent using JamiiForums mobile app
Chadema hakuna mchakato acha ushabiki uwe muwazi. Mchakato uliishia huko nyuma kama kweli wanaamini mchakato kwanini waliwafukuza kina Zitto?Kugombea ni mchakato. Na yeye hajasema kuwa atagombea bila ya kufuata mchakato wa kichama utakaokuwepo!
Hajataka au hajaonyesha nia ya kugombea Urais.
No matter how evil money is,but being broke is not holly.
Hajataka au hajaonyesha nia ya kugombea Urais.
No matter how evil money is,but being broke is not holly.
In short the old man is flat down to earth, hana lolote LA maana and will never be a president,
Tupe maoni yako juu ya mzee kujipitisha mwenyeweKiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.