Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Siku zote ukiona mtu anaongea amekunja ndita na kurusha mikono fahamu ana matatizo na hajui kuzungumza kimkakati.

Angalia picha ya Wa awamu 1,2,3,4 wanazungumza huku wametulia. Walikuwa hawana cha maneno "Nimesema, Mimi ndio mkubwa, nitafanya n k" Walikuwa na "Tutafanya, Serikali yetu n.k".
Kabisa mkuu, anarusha mikono kama anavua samaki hadi aibu.
 
Kwani wale wa kijani hawamjui mgombea wao anayepita bila kupingwa?

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ubovu wa ccm unatumika kuhalalisha ubovu wa Chadema.
 
Hakuna mgombea wa urais kupitia chadema aliyewahi kugombea mara mbili. Kama Lowasa akigombea mara ya pili ntaamini chadema wamekumbwa na Mabadiliko Lowasa.
Wamesahau ni zamu ya Sumayi au Kingunge
 
Labda akagombee uenyekiti wa kijiji au mtaa......
 
Mmh! Yan nyie bado mnawaza lowasa agombee? Akigombea ndo inakuwaje laabda kama alishinwa 2015 ana kip cha ziada

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hafai

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.
lakin bongo awezi kujinyambulisha mazungumzo rudia sera zake kipindi cha kugombea urahisi akiulizwa maswalii

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Luwassa aliagizwa na JK aongee na watu wa makinikia, yeye akaona amuombee kazi rafiki yake Juma !

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Luwassa aliagizwa na JK aongee na watu wa makinikia, yeye akaona amuombee kazi rafiki yake Juma !

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwenye hilo mnadai aliagizwa na Jakaya Kikwete ila kwenye Richmond mnadai alifanya mwenyewe! Halafu anaitwa Lowassa na siyo Luwassa. Wa wapi wewe!

Halafu Juma Mwapachu ile haikuwa kazi bali ni hadhi inayotokana na kuwa na Maslahi kwenye Acacia.
 
Hujielewi wewe, siku ukijitambua na kuwa mtumwa wa mawazo na fikra zako mwenyewe badala ya sasa kuwa mtumwa wa mawazo ya wanasiasa uchwara utaacha ujinga

Ni mawazo yako nayaheshimu pamoja na kuwa yamejaa povu!!! Japokuwa unajiona unajitambua, kuna siku utagundua ilikuwa kinyume chake!!!!
 
Back
Top Bottom