Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,494
Rais wangu 2020
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
Cha ajabu ukitiwa mbaroni kwa lugha ya kejeli na matusi, unasema ulikuwa unatetea maslahi mapana ya taifa!Acha kabisa kumfananisha Lowassa na yule 'uchwara' ambaye anapata hasira na Presha ukimuuliza swali kwa lugha ya malkia.
'Uchwara' kila kukicha anakariri tu salamu za kimakabila na matusi ya kisukuma tu ili kwenda kuropoka kwa watz wajinga.
cha ajabu ukitiwa mbaroni kwa lugha za kejeli na matusi, unasema ulikuwa unatetea maslahi mapana ya taifa!Acha kabisa kumfananisha Lowassa na yule 'uchwara' ambaye anapata hasira na Presha ukimuuliza swali kwa lugha ya malkia.
'Uchwara' kila kukicha anakariri tu salamu za kimakabila na matusi ya kisukuma tu ili kwenda kuropoka kwa watz wajinga.
Mabadliko ya katiba ya ccm Dodoma hukufuatilia.......kwamba Raisi akitoka ccm awamu ya kwanza awamu ya pili anakuwa ndio mgombea pekee hakuna mchakato mwingine ndani ya chama .Ccm wamempitisha lini? Mkuu usinipotezee muda plz.
Punguani ndio anaweza uliza swali ulilouliza na kukimbilia ya cjui ulimwengu umefanya nn..wkt agenda ni biashara ya unga kabla na baad ya serikali hii kuingia..hlf mnatetea ukosoaji wa kipuuzi km huuKwani sasa hivi hakuna Unga? Jielimishe mambo ya unga duniani ndipo utajua hadi kwenye Makasri ya wafalme na Ikulu za Ulimwengu walamba unga wapo?
Usihamaki jenga hoja. Unga upo na watu bado wanabwia. Nimetaja dunia nzima kwa kuwa si vita mpya hata hapa Tanzania ipo na inaendelea kuwepo bila ya kutafuta ujinga wa kusifiwa. Unajua Kala pina anafanya nini kwenye vita hii ya madawa ya kulevya. Unajua ni watu gani wanashughulika na wahanga walioko kwenye "Sober House" zilizoko Tanzania?Punguani ndio anaweza uliza swali ulilouliza na kukimbilia ya cjui ulimwengu umefanya nn..wkt agenda ni biashara ya unga kabla na baad ya serikali hii kuingia..hlf mnatetea ukosoaji wa kipuuzi km huu
Post sent using JamiiForums mobile app
Hiyo misingi inayoanzwa kujengwa ilibomolewa na nani?Dah.... Labda agombee Kenya....si kwenye nchi iliyoanza kujenga msingi upya![]()
![]()
Sent from my Osborne II using JamiiForums Mobile App
Si unajua unga ulipo..kachukue uuze tuone km utakuja kuleta huu ujinga unaongea hapa..kila cku wimbo kucfiwa wala hahitaji sifa ya mtu yeyote anayofanya yanajisifu yenyewe!Usihamaki jenga hoja. Unga upo na watu bado wanabwia. Nimetaja dunia nzima kwa kuwa si vita mpya hata hapa Tanzania ipo na inaendelea kuwepo bila ya kutafuta ujinga wa kusifiwa. Unajua Kala pina anafanya nini kwenye vita hii ya madawa ya kulevya. Unajua ni watu gani wanashughulika na wahanga walioko kwenye "Sober House" zilizoko Tanzania?
Nyie kila kitu mnapenda kukijaza upuuzi!
Hivi huyu si ndiyo alijinyea jukwaani au siyo anafaa kuwaongoza nyumbu wenzake na siyo nchi.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Mmekomeshwa..na bado!Huyo jamaa Wa magogoni atamruhusu kweli!? Maana anaamini nchi hii ni mali yake binafsi aliyorithi kutoka kwa wazee wake.
Biashara ya madawa ya kulevya hufanywa na watu walioharibikiwa maadili (moral corrupted persons) sifa ambayo mimi sina!Si unajua unga ulipo..kachukue uuze tuone km utakuja kuleta huu ujinga unaongea hapa..kila cku wimbo kucfiwa wala hahitaji sifa ya mtu yeyote anayofanya yanajisifu yenyewe!
Post sent using JamiiForums mobile app