Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Huyo jamaa Wa magogoni atamruhusu kweli!? Maana anaamini nchi hii ni mali yake binafsi aliyorithi kutoka kwa wazee wake.
 
CCM walimpitisha kwa mjibu wa katiba yao .... Chadema mmekaa lini kumpitisha Lowasa.?
Chadema sio kama ccm. Mtu yoyote anaweza kuonesha nia ya kugombea wakati wowote as long as he is capable. Katiba yetu sio kama y ccm.
 
Hajataka au hajaonyesha nia ya kugombea Urais.

No matter how evil money is,but being broke is not holly.
 
Kiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.

Kuna Mtu alipobanwa na BBC kwny Interview aliishia kusema Unanionea Mwandishi! Simkumbuki Jina Ila anatembea Kwa Mwendo wa Pole pole sana
 
Hajataka au hajaonyesha nia ya kugombea Urais.

No matter how evil money is,but being broke is not holly.
Hii comment nimeandika kuhusu aliyesema mbona Mh Mbowe hagombei.I did a mistake in quoting.

No matter how evil money is,but being broke is not holly.
 
Huyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa hili
Lazima mutatafuta lugha za kujiliwaza maana vipigo vinakuwa vingi. Yaani una sifa mtu kuwa mwenye busara lakini hapo hapo mnasema CCM ndio imeifikisha nchi hapa tulipo. So Lowassa ndiye mwenye busara kuliko wote alikuwa nao huko CCM ama busara zimekuja baada ya kuhama?
Kama Lowassa ana busara basi wanaCCM wana busara kuliko yeye ndio maana hawako naye. Mlijidai kusema mabadiliko na Lowassa, sasa ni mabadiliko gani mnayotaka kama hatukuyaona akiwa PM?
"Najua roho zinawauma mnapokohoa, Magufuli hakohoi"
 
Ila jamani Mungu fundi.... anajua wapi aweke tofali wapi aweke bawaba..... Sizonje angeijua lugha ya malkia vizuri haki tusingelala hapa mjini.... baba mpenda sifa kuliko malaika wa sifa ibilisi
......

Na Ule moyo ungekua unatulia angekata mawimbi kuliko Vasco da Gama.... ama kweli Mungu fundi.

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwi! Kwi! Kwi!
 
View attachment 543420Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifanyiwa mahojiano na kituo cha televisheni cha Nation TV cha jijini Nairobi nchini Kenya.

" Watu wengi wananiuliza kuhusu 2020, Jibu ni Moja Tu. NITAGOMBEA"
Edward Lowassa
Nairobi Serena
16 July 2017
Mbowe asije akabadili mwelekeo na kushinikiza atafutwe mgombea mwingine
 
Back
Top Bottom