twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,796
Aisee umesahau na ile UNANIONEA.Kiukweli Lowassa anaweza kufanya interview za kimataifa vyema, anajiamini na anajua nini cha kujibu, yote kwa yote ile Lugha ya Malkia inakwenda vizuri.
Kama angekuwa yule "Uchwara" wa Tz ndio anahojiwa ungesikia kakimbia interview au akaishia kuporomosha matusi ya nguoni ya kiswahili na kisukuma.
