Soma vizuri post yangu utagundua nimegusia hilo pia.How many times magu na raila walishirikiana?
hivi kwanini hamuoni hayo?
Dah... are you serious? [emoji15]Waliibomoaje na hao wanaoijenga hivi sasa walikuwa wapi wakati inabomolewa? Na hiyo misingi ni ipi hiyo?
Ninachompendea lowassa, ni kwamba ni mvumilivu na hakubali kushindwa kizembe.View attachment 543420Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifanyiwa mahojiano na kituo cha televisheni cha Nation TV cha jijini Nairobi nchini Kenya.
" Watu wengi wananiuliza kuhusu 2020, Jibu ni Moja Tu. NITAGOMBEA"
Edward Lowassa
Nairobi Serena
16 July 2017
Zitto hakuweza kutimiza masharti ya chadema, kama kwanza lazima uwe unatokea mkoa wa Arusha ama Moshi, pili use mkiristo, tatu kama hotoki mikoa hiyo, basi angalao umeo bibi wa kichaga.Zitto alipata msukosuko chadema aliposema atagombea urais na uenyekiti. Labda kanuni zinapindishwa kwa wengine.
alisema wapi acha uongo wako babuHuyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!
Chato chato chato chato chato 2040