Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Huyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa hili
Kama requirement ni kuwa na busara tu basi nenda ukamuite babuyako uliyemuacha kijijini aje agombee..

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ila jamani Mungu fundi.... anajua wapi aweke tofali wapi aweke bawaba..... Sizonje angeijua lugha ya malkia vizuri haki tusingelala hapa mjini.... baba mpenda sifa kuliko malaika wa sifa ibilisi
......

Na Ule moyo ungekua unatulia angekata mawimbi kuliko Vasco da Gama.... ama kweli Mungu fundi.

Post sent using JamiiForums mobile app
hahahhahaahhhaa mkuu angalia usiitwe mchochezi!!! una maana hapendi kupaa kwa sababu ya nanilia duhhh ckulifaham hilo 🙁🙄😱
 
Kama requirement ni kuwa na busara tu basi nenda ukamuite babuyako uliyemuacha kijijini aje agombee..

Post sent using JamiiForums mobile app
Haahahahahahaha hivi ccm kinachowafanya muamini lowasa hawezi uongozi ni nni??? kma tu chama chenu kilimpa uwaziri mkuu kivp leo mnakuwa wa kwanza kumtukana kuwa anaweza kuzungusha mikono tu sijui zezeta n.k mnatoa wapi huo ujasiri?? kesho akirudi ccm mtasemaje??? funny
 
Sio mara ya kwanza...What is NTV??
hata BBC WALIMUHOJI..
Watanzania hawataki ufisadi ...FINITO
ila fisadi huyo alishawahi kuwa waziri mkuu wa chama tawala je tuamini kuwa ccm kinalinda mafisadi??? je mahakama ya mafisadi mbona hamumpeleki??? unazungumziaje kauli yake ya mwenye ushahidi aende mahakamani??
 
Hakuna mgombea wa urais kupitia chadema aliyewahi kugombea mara mbili. Kama Lowasa akigombea mara ya pili ntaamini chadema wamekumbwa na Mabadiliko Lowasa.
lowasa hagombei 2020!!! hta mbowe alisema anagombea 2010 ila haikuwa hivo pia slaa alisema anagombea 2015 ila haikuwa hivo so lowasa amesema hivo kma azma ila hatogombea urais 2020!!!! Nina credible source ya haya
 
Huyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa hili
Hata awe na sifa gani ila fisadi hapana.
 
Gazeti la Leo Jumatatu Julai 17, 2017 la Mwananchi ukurasa wa mbele limepambwa na kichwa cha habari kikubwa kinachosomeka LOWASSA: NITAGOMBEA URAIS TENA MWAKA 2020. Lowassa ni mjumbe wa kamati kuu Chadema.

Binafsi huwa siwaelewi kabisa chama kinachojipambanua kuwa Chama Cha demokrasia lakini ukitazama matendo yake utagundua hiyo demokrasia wanayoisema ipo kwenye makaratasi na si kivitendo.

Mathalani kuna nafasi zina wenyewe ndani ya Chadema na hazigusiki endapo mtu akihoji huitwa msaliti, hufukuzwa uanachama ama kupatwa na mabalaa zaidi makubwa.

Hata kwenye nafasi za teuzi nazo pia zina lalamikiwa demokrasia kupindishwa kwa watu kupatikana kutoka mifukoni mwa wakubwa.

Leo hii mjumbe wa kamati kuu ya Chadema anasema atagombea tena urais 2020. Ina maana vikao vimesha kaa na kumpitisha tena Mhe. Lowassa kuwa mgombea urais 2020? Demokrasia wameitupia wapi mpaka kuruhusu udikteta huu?

Kauli ya Lowassa inadhihirisha kutangaza nia na kuanza maandalizi ya kampeni za Urais. Huu uhaini wa kuanza kutangaza nia ya kugombea urais kabla ya wakati wakati kuna Rais halali Dk. Magufuli, nani ameubariki? Ina maana hawajui kuanza kutangaza nia ya kugombea kabla ya wakati ni kosa kisheria?

Chadema mpaka sasa hawajakanusha uhaini huo. Chadema wajitathmini kwa matendo yao, kauli zao, nia zao huku wakiheshimu sheria, taratibu na kanuni za nchi.

Shilatu E.J

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA siku zote huongozwa na kauli za mwenye chama
 
lowasa hagombei 2020!!! hta mbowe alisema anagombea 2010 ila haikuwa hivo pia slaa alisema anagombea 2015 ila haikuwa hivo so lowasa amesema hivo kma azma ila hatogombea urais 2020!!!! Nina credible source ya haya
Je wewe ubagombea? Mbona unausemea moyo? Give us information from your impeccable sources!
 
Je wewe ubagombea? Mbona unausemea moyo? Give us information from your impeccable sources!
mimi sio mwanasiasa ni mtu mwenye profession yangu nje ya siasa so sigombei post yoyote ya kisiasa

kuhusu lowasa hiyo ni diversion plan yaani maccm yatawekeza kuhakikisha yanapambana na lowasa na kupoteza muda ili by the tym mgombea halisi wa UKAWA anateuliwa itakuwa shockwave na ccm watakua hawajamchafua au kujipanga na kujianda kupambana naye na ndio mchezo utanoga kwa waliosoma 48 laws of power warejee law number 2 kuhusu kutumia smoke screen kuhamisha concerntration ya maadui ...... ni hivyo tu hutaki acha ila nakuhakikishia 100% Lowasa hatogombea kma unabisha tukutane 2020 july
 
Ila jamani Mungu fundi.... anajua wapi aweke tofali wapi aweke bawaba..... Sizonje angeijua lugha ya malkia vizuri haki tusingelala hapa mjini.... baba mpenda sifa kuliko malaika wa sifa ibilisi
......

Na Ule moyo ungekua unatulia angekata mawimbi kuliko Vasco da Gama.... ama kweli Mungu fundi.

Post sent using JamiiForums mobile app
Heshima muhimu mkuu
View attachment 543420Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa akifanyiwa mahojiano na kituo cha televisheni cha Nation TV cha jijini Nairobi nchini Kenya.

" Watu wengi wananiuliza kuhusu 2020, Jibu ni Moja Tu. NITAGOMBEA"
Edward Lowassa
Nairobi Serena
16 July 2017

 
Agombeee hata kipindi kile si alisema kura atahesabu mwenyewe

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Watatumia kigezo hiki kumkata kama alivyokatwa na ccm wacha ajilengeshe wakati wanamtafutia sababu
 
Back
Top Bottom