madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,421
- 864
Hapa ndio naamini chama ni chake wakati yupo green party alikua hathubutu kutoa kauli kama hii
Sahau kuhusu hilo. OvaMfalme juhaa anajiona kama kim jong un.
Kana kwamba maneno yake ndio katiba
Tunamchora tuu 2020 ndo atakapojiona ni mtu wa namna gani ata walioko upande wake watamgeukia
Ngoja tusubiri muda utajieleza wenyewe
Post sent using JamiiForums mobile app
Umeongea kitu sahihiHuyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa hili
Hapa angekamatwa yeye na huyo anaemfanyia mahojianoHizi siasa za kuvuka mipaka kwenye nchi jirani zitakuja kuleta matatizo mbeleni. Hapa nawaongelea EL na Raila pamoja na marafiki zao waliopo madarakani.
hakika we ni mwongoHakuna mgombea wa urais kupitia chadema aliyewahi kugombea mara mbili. Kama Lowasa akigombea mara ya pili ntaamini chadema wamekumbwa na Mabadiliko Lowasa.
Lazima mutatafuta lugha za kujiliwaza maana vipigo vinakuwa vingi. Yaani una sifa mtu kuwa mwenye busara lakini hapo hapo mnasema CCM ndio imeifikisha nchi hapa tulipo. So Lowassa ndiye mwenye busara kuliko wote alikuwa nao huko CCM ama busara zimekuja baada ya kuhama?
Kama Lowassa ana busara basi wanaCCM wana busara kuliko yeye ndio maana hawako naye. Mlijidai kusema mabadiliko na Lowassa, sasa ni mabadiliko gani mnayotaka kama hatukuyaona akiwa PM?
"Najua roho zinawauma mnapokohoa, Magufuli hakohoi"
busara ndio zilizo mtoa ccm, we unaona kula zile rambirambi ni busara au unafikiri kudanganya umma hamna uwezo wa kurusha bunge wkt tunaona vitu vya ajabu ajabu live huko tbc tena kwa fedha zetu za kodi hio nayo ni busara? Au kumkingia bashite kifua ni busara zaidi?..Lazima mutatafuta lugha za kujiliwaza maana vipigo vinakuwa vingi. Yaani una sifa mtu kuwa mwenye busara lakini hapo hapo mnasema CCM ndio imeifikisha nchi hapa tulipo. So Lowassa ndiye mwenye busara kuliko wote alikuwa nao huko CCM ama busara zimekuja baada ya kuhama?
Kama Lowassa ana busara basi wanaCCM wana busara kuliko yeye ndio maana hawako naye. Mlijidai kusema mabadiliko na Lowassa, sasa ni mabadiliko gani mnayotaka kama hatukuyaona akiwa PM?
"Najua roho zinawauma mnapokohoa, Magufuli hakohoi"
Kama chadema?hakika we ni mwongo
Kumhusisha huyo mtu na Mungu ni dhambiNIMEPENDA KWA JINSI MLIVICHANGIA ILA NAOMBA KUWAAMBIA KATIBA INARUHU MTU YEYOTEKUGOMBEA ATAKAEIBUKA MSHINDI NDO TUMUUNGE MKONO TUMSAPOTI ILI MRADI AWE RAIA WA NCHI HUSIKA SASA HAPA KWETU MR JOHN POMBE MAGUFULI AMEIBUKA KIDEDEA NA NIMTANZANIA MWENZETU TUMUUNGE MKONO ILI TULIFIKISHE TAIFA MAHALI PAZURI SIO KILA KITU ANACHOFANYA MNAONA ANAKOSEA MPONGEZEN ILI AONGEZE BIDII ,KWA MFANO SIKU ZA NYUMA TULIMSEMA SANA JAKAYA AKAMALIZA TUMENYAMAZA. CCM WAKASIKIA MALALAMIKO YETU WAKALETA MTU AMBAE HAANGALII SURA YA MTU UKIKOSEA WAJIBIKA MWENYEWE VINGINEVO ANAKUTUMBUA HATAKI MCHEZO SASA MNAPIKA KELELE MNATAKA NN MBONA MZEE LOWASSA ANAMPONGEZA MWENZAKE NYIE WAJUMBE HUMU NDANI TUACHE KULALAMIKA TUMUUNGE MKONO MHESHIMIWA RAIS
Mungu pamoja nasi
....huikumbuki !Naikumbuka. inahusiana vipi na makinikia ya bandarini na ukurugenzi wake?
Hekima za ufisadi?!Hekima hatutaki sisi
Post sent using JamiiForums mobile app
Huu sasa ulofa wa akili. Ni vema wakati mwingine mtu kuonyesha hujui ili ujifunze kuliko kuonyesha unajua kumbe hujui.Hapa tuelewe kwamba chadema tayari wana mgombea urais wa 2020 aliejitangaza huko Kenya.
Lile baraza kuu litakuwa na kazi gani wakati wa kutafuta mgombea wa chama?
Je mwanachama mwingine atakae onesha nia ya kuomba uteuzi wa chama kugombea nafasi hyo ataeleweka kweli?
Huu ni mgogoro mkubwa unaandaliwa na ku clear njia ya Magu 2020.
Mwizi wa kura za wapinzani ktk chaguzi huwa ni mipango mibovu na wala sio ccm.
Post sent using JamiiForums mobile app
Bora moral corrupted person kuliko abdominal corrupted person, evil n selfish like you..Biashara ya madawa ya kulevya hufanywa na watu walioharibikiwa maadili (moral corrupted persons) sifa ambayo mimi sina!
Msanii huyu, kawakoga CHADEMA na mahela yake (tena sijuwi yalikuwa yetu yale?!). Kumbuka anayo degree in BA Fine and Performing Arts. University of Dar es Salaam in 1977.Huyu aliyesema to develop you have to improve poverty, au lowasa mwingine?!
Dah... Lowassa & Co...... Na wakataka kuivunjilia mbali kabisa..... Kitengo kikaokoa jahaziHiyo misingi inayoanzwa kujengwa ilibomolewa na nani?
Waliibomoaje na hao wanaoijenga hivi sasa walikuwa wapi wakati inabomolewa? Na hiyo misingi ni ipi hiyo?Dah... Lowassa & Co...... Na wakataka kuivunjilia mbali kabisa..... Kitengo kikaokoa jahazi![]()
![]()