Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Edward Lowassa: Ni kweli nitagombea Urais 2020

Hakuna rais hapo kwa aliyo yafanya Magufuli yeye asingeweza...

Sina chana ila Mtazamo wangu..

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Ni kweli kwa tabia yake yeye asingeweza kuzuia wapinzani wake kumkosoa pia yeye ni mtu wa kusamehe hata wanaomshutumu bila ya kuwa na ushahidi ama sababu.

Kweli aliyoyafanya Magufuli Lowassa asingeweza kuyafanya!
 
Huyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa hili
Hekima hatutaki sisi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huyu akiwa rais basi hii nchi itakua kama Colombia tu.ma unga nje nje na ma deals yote yatahamia bongo..ananuka rushwa huyu mtu...fisadi papa haswa. Hafai.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huyu akiwa rais basi hii nchi itakua kama Colombia tu.ma unga nje nje na ma deals yote yatahamia bongo..ananuka rushwa huyu mtu...fisadi papa haswa. Hafai.

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwani sasa hivi hakuna Unga? Jielimishe mambo ya unga duniani ndipo utajua hadi kwenye Makasri ya wafalme na Ikulu za Ulimwengu walamba unga wapo?
 
Hajasema yeye ni Mgombea bali kasema atagombea na kugombea Urais ni mchakato. Sasa ni wapi amesema kwamba yeye kateuliwa kugombea na wala CHADEMA hawajafanya maandamano kumwambia yeye anafaa mwaka 2020 bali huo ni utashi wake.
umemjibu vema pata like yangu mkuu
 
kama Kenya wanampenda agombee hukohuko na linchi lao la kifisadifisadi, naona Uhuru anatuchokonoa kilichompata joice banda naona abakitafuta


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Na Mwenyekiti Mbowe vipi, hana sifa?
Sifa za kugombea Urais inatokana na Katiba ya nchi. Na Mbowe naye anakidhi vigezo na ndiyo maana alikuwa Mgombea wa Kwanza wa Urais Kupitia CHADEMA pale alipogombea Urais mwaka 2005.
 
Huyu akiwa rais basi hii nchi itakua kama Colombia tu.ma unga nje nje na ma deals yote yatahamia bongo..ananuka rushwa huyu mtu...fisadi papa haswa. Hafai.

Post sent using JamiiForums mobile app
ushaidi mkuu uko wapi mbna unampa sifa mbaya lete ushaidi mkuu
 
Sifa za kugombea Urais inatokana na Katiba ya nchi. Na Mbowe naye anakidhi vigezo na ndiyo maana alikuwa Mgombea wa Kwanza wa Urais Kupitia CHADEMA pale alipogombea Urais mwaka 2005.
Kwa sasa vipi, mbona hamumpi nafasi wala hamumjadili kabisa!?
 
...
Huyo lowasa kateuliwa na kikao kipi kuwa mgombea 2020? Kama mlichukua pesa yake jiandaeni hizo pesa mlizochukua zitawatokea puani. Kanunua anasema lolote na hamuwezi kumfanya chochote
Zitto alipata msukosuko chadema aliposema atagombea urais na uenyekiti. Labda kanuni zinapindishwa kwa wengine.
 
Eti waziri mkuu aliyestaafu ?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sio mara ya kwanza...What is NTV??
hata BBC WALIMUHOJI..
Watanzania hawataki ufisadi ...FINITO
Unazungumzia watanzania gani? Wale ambao kwao ufisadi kwenye kivuko, uuzwaji wa nyumba za serikali; nk si kitu?
 
Kwa sasa vipi, mbona hamumpi nafasi wala hamumjadili kabisa!?
Hakuna anayepewa nafasi wala kujadiliwa kwa kutumia mfumo wa chama, ila mwanasiasa ni yeye anayetengeneza kujadiliwa na kupewa nafasi. Hata Lowassa hajadiliwi wala kupewa nafasi bali ni yeye anayetengeneza hali hiyo kwa jinsi alivyo na CCM ndiyo huweka mwangwi kwenye hali hiyo ya Lowassa.
 
Back
Top Bottom