MJJ
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 313
- 256
Huyu anazo sifa za kuitwa rais wa nchi maana anazo hekima na busara katika maneno yake, hivyo ni rahisi kwake kuunganisha jamii yote ya Watanzania na kuwa kitu kimoja, siyo huyu ambaye anaamini wakosoaji wake ni maadui wa taifa
Pole sana ndoto za mzee wako hazijawai kuwa kweli. Mjipange sawasawa maana Chadema mpaka sasa hatuna mgombea 2020 inakuwaje ajione yeye anafaa?