kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Baba nkwabi ingekua uwezo wake angetuma polisi wakazuie hiyo interview.......
Watanzania haswa magamba jifunzeni kitu kutoka kenya jana wakati wa misa ya kumuaga yule waziri niliona viongozi wote wa upinzani na chama tawala wakiwa wamekaa pamoja na kuwa kama ndugu mpaka kutaniana. Lakini huku kwetu watu hata kuaga mwili wa marehemu walinyimwa eneo kisa tu ni mtu wa upinzani.
Post sent using JamiiForums mobile app
Watanzania haswa magamba jifunzeni kitu kutoka kenya jana wakati wa misa ya kumuaga yule waziri niliona viongozi wote wa upinzani na chama tawala wakiwa wamekaa pamoja na kuwa kama ndugu mpaka kutaniana. Lakini huku kwetu watu hata kuaga mwili wa marehemu walinyimwa eneo kisa tu ni mtu wa upinzani.
Post sent using JamiiForums mobile app